Serikali ya Awamu ya 4 ya Jakaya Kikwete ndio ilithubutu Kuwafunga Jela Mawaziri na Makada wa CCM Mafisadi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,131
Wote tunakumbuka Daniel Yona alifungwa Jela kwa Ufisadi aliofanya akiwa Waziri

Basil Mramba alifungwa Jela kwa Ufisadi aliofanya akiwa Waziri

Rajab Marandu alifungwa Jela kwa Ufisadi wa EPA

Hii ndio rekodi pekee ambayo Shujaa Magufuli aka Jiwe hakuivunja

Ramadan Kareem 😄
 
Sio rahisi kwa fisadi kukaa jela kwa sababu fisadi yupo juu ya Sheria,anao uwezo wa kuinunua Sheria.

Jela utakaa wewe masikini usiwe na uwezo wa kumpa soda hatq mchukua maelezo Yako police.

Wenzio anaekuchukua TU maelezo anatwangwa million tano kwann asikuongoze jinsi ya kuchomoka kwenye kesi.
 
Back
Top Bottom