Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Babu wa Loliondo katutingisha sana. Serikali yote ilihamia Loliondo kunywa kikombe. Wabunge walitiririka, raia wa kawaida tukaamini kwamba Tulipata ukombozi wa Kiafya. Kila mtanzania angeyapata haki yao ya kimsingi. Baada ya muda kupita sasa, tunaomba serikali yetu tukufu itupe majibu au ripoti ya uchunguzi kuhusu tiba ya babu wa Loliondo. Watanzania tumechoka kudanganywa na kuibia. Serikali ya CCM tunaomba majibu