Hiyo sheria imetungwa na Bunge au ni vi-sheria vya municipal? Sasa Mbona kuna kazi, nchi yetu hii dunia ya tatu, tuna umizana hivyo? Wangapi watajenga au ndio wameamua tusijenge wote tuwe wapangaji?
Yani Marekebisho ya nyumba yangu niilipe serikali kwa lipi? Cementi nikinunua nalipa kodi sasa kwanini nilipie kibali au wanajenga wao?
Yani Marekebisho ya nyumba yangu niilipe serikali kwa lipi? Cementi nikinunua nalipa kodi sasa kwanini nilipie kibali au wanajenga wao?