mimi sio mtabiri ila nasema kwamba kauli iliyotolewa na waziri mkuu wa serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu ya mgoma wa madaktari katika chombo kikubwa cha nchi yaani Bunge itapelekea hitimisho la kuanguka kwa serikali serikari ya CCM. Nasema asante Pinda kwa kutusaidia kuiondoa hii serikali mapema.
I dont know what is this. Is the country crazy? Where is everyone? Am i crazy? Haki ya nani kipindi hiki watajua daktari ni nani? Yote waliyofanya nimesamehe ila siyo hili la leo. Kama alivyowahi kusema the late founder of the nation he jk nyerere. Hii ni kama kula nyama ya mtu. Dhambi hii itawafuata milele
He is difeating his moral? If his integrity is high he should resign mbona Lowasa aliresign.
...mtoto w mkulima amesahau alipotoka naye ni wale wale waishio kwenye familia dhaifu:sad:
ndugu zanguni
hakuna aneunga mkono kupigwa na kuteswa kwa Dr ulimboka! lkn aliefanya hivyo hajulikani. suala la madaktari limekua la kisiasa. siasa ni mchezo mchafu
NIMEJIFUNZA JAMBO MOJA
Nimejifunza kuwa DAKTARI HARUHUSIWI KUGOMA KUTOKANA NA KAZI YAKE INAYOHUSU UHAI. mbona huyu dr ulimboka amekimbizwa mhimbili!!! kwa nini? jibu ni rahisi, KUOKOA MAISHA YAKE. sasa kwa nini wanagoma!? ina maana wantaka watanzania wafe? mboa serikali imetatua maombi yao kwa 70% bado TC SCan pekee na mambo madogo madogo. WANATAKA NIN HAWA MADAKTARI? WANATUMWA NA IFRITI (JINI) YUPI? waziri mkuu amesema bungeni kuwa serikali kesho itatoa msimamo wake.
USHAURI WANGU
Nashauri waziri wa utumishi awafukuze wote ambao HAWATARIPOTI KESHO ASUBUHI KAZINI. tuache kuvuruga nchi yetu yenye amani kwa MAMBO YA UCHU WA MADARAKA
Hivi kweli sisi wapiga kura tuko wapi, kodi tutoe wenyewe, waende kukaa nazo mjengoni na kusema LIWALO na LIWE kwa uhai wa walipa kodi na wapiga kura wa nchi hii ili hali wao wakienda kutibiwa nje ya nchi hata malaria tu; wakati umefika wa kuchukua hatua. Nawaunga mkono madaktari klatika hili.