Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Tumedanganya danganya mpaka sasa tumeishia kujidanganya wenyewe. Hii nchi haina mjomba wala shangazi wa kuiletea maendeleo. Kila kukicha ni kuzunguka duniani kwa kutumia hela nyingi eti kuomba misaada ya donors. Sasa mbona tumerudi kwenye basics zinazotumiwa na yoyote anayetaka kujiletea maendeleo?
Tutumie vichwa vyetu vizuri jamani!!!
Tutumie vichwa vyetu vizuri jamani!!!