Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 356
Baada ya kuapishwa Machi 19,2021 Rais Samia alitamani kuona Tanzania inasimama peke yake bila kutegemea mikopo, lakini ukitizama katika hali tulivyokuwa nayo ilikuwa ni sawa na kujichimbia shimoni!
Siku zote palipo na matatizo kuna mzizi wa tatizo lenyewe huo ndiyo wa muhimu kuukata! Matunda ya kuukata mzizi yanahitaji uvumilivu ili matokeo yake yaonekane Rais Samia ameukata mzizi na matunda yanaonekana!
1. Alijifunza makosa ya utawala kwa Serikali iliyopita ambayo alihudumu hakuchagua lawama alitengeneza njia ya kutatua matatizo kwa kufanya kazi Rais Samia alifahamu ili tuendelee tunahitaji mfumo mzuri wa kulipa kodi si ule uvamizi katika akaunti za watu na kubambika kodi utaokimbiza hadi wawekezaji.
2. Aliomba muda wa kufanya kazi! Hakujifunza kuamka asubuhi kufanyia kazi story za mitandao na magazeti na kuwafukuza kazi walioshutumiwa bila kufanyia due process katika uongozi kuna fitna, majungu na kuoneana kijicho Rais Samia amejifunza serikali iliyo bora ni ile inayoheshimu utawala bora.
3. Amewavuta World Class Talent kwenye kila kona ya utumishi wa Umma kwa ajili ya kumsaidia kufanya kazi! mifano ipo wazi inaonekana.
4. Nchi haipoi kama maji, Rais Samia ameonyesha uwezo mkubwa wa kusimamia usalama wa nchi pamoja na kuifungua nchi katika uhusiano wa kimataifa ni vigumu sana kwa maadui kupenyeza na kuleta chokochoko. Amemudu kubadili spy master wawili pamoja na kuleta sera mpya ya mfumo.
5. Kuipa thamani sekta binafsi,wafanyabiashara na wajasiriamali hawa ni watu muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu katika mengi yaliyokwishafanyika katika mipango ya maendeleo wamepata nafasi ya kushiriki kutoa mchango wa mawazo na kuijenga nchi.
6. Falsafa ya 4R
7. Serikali imeweka institutions perfomance kwa taasisi zote zinazoingiza kipato (generate income) kila taasisi imewekewa target ya kukusanya ikiwemo TRA kama zitashindwa kujiendesha na kuongeza kipato kwa Wakuu wa Taasisi watafute shughuli nyingine za kufanya jambo hili limeongeza efficiency kwa mashirika ya Umma.
8. Ameyafuta na kupunguza mashirika yanayoikwamua Serikali vilevile Rais Samia anataka kuunganisha mashirika ya Umma kuwa na idadi ndogo yenye ufanisi. Kupunguza utegemezi wa mashirika ya Umma kutoka Serikali kuu.
9. Ameweka zuio la uingizaji wa nafaka kama mchele, mahindi pamoja na Sukari isipokuwa kwa dharura kipindi cha majanga na hii ni kwa ajili ya kuhamasisha kilimo cha mazao hayo hapa nyumbani. Kibali cha kuingiza mchele ni adimu kama machozi ya Simba.
10. Benki kuu kununua dhahabu kwa ajili ya back up ya sarafu yetu lengo la Serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia ni kununua tani 6000 za dhahabu kila Mwaka. Jambo hili limeimbwa sana muda mrefu Rais Samia amelitekeleza now tumeimarisha sarafu pamoja na akiba ya fedha za kigeni.
#MamaYuKoKazini
Siku zote palipo na matatizo kuna mzizi wa tatizo lenyewe huo ndiyo wa muhimu kuukata! Matunda ya kuukata mzizi yanahitaji uvumilivu ili matokeo yake yaonekane Rais Samia ameukata mzizi na matunda yanaonekana!
1. Alijifunza makosa ya utawala kwa Serikali iliyopita ambayo alihudumu hakuchagua lawama alitengeneza njia ya kutatua matatizo kwa kufanya kazi Rais Samia alifahamu ili tuendelee tunahitaji mfumo mzuri wa kulipa kodi si ule uvamizi katika akaunti za watu na kubambika kodi utaokimbiza hadi wawekezaji.
2. Aliomba muda wa kufanya kazi! Hakujifunza kuamka asubuhi kufanyia kazi story za mitandao na magazeti na kuwafukuza kazi walioshutumiwa bila kufanyia due process katika uongozi kuna fitna, majungu na kuoneana kijicho Rais Samia amejifunza serikali iliyo bora ni ile inayoheshimu utawala bora.
3. Amewavuta World Class Talent kwenye kila kona ya utumishi wa Umma kwa ajili ya kumsaidia kufanya kazi! mifano ipo wazi inaonekana.
4. Nchi haipoi kama maji, Rais Samia ameonyesha uwezo mkubwa wa kusimamia usalama wa nchi pamoja na kuifungua nchi katika uhusiano wa kimataifa ni vigumu sana kwa maadui kupenyeza na kuleta chokochoko. Amemudu kubadili spy master wawili pamoja na kuleta sera mpya ya mfumo.
5. Kuipa thamani sekta binafsi,wafanyabiashara na wajasiriamali hawa ni watu muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu katika mengi yaliyokwishafanyika katika mipango ya maendeleo wamepata nafasi ya kushiriki kutoa mchango wa mawazo na kuijenga nchi.
6. Falsafa ya 4R
7. Serikali imeweka institutions perfomance kwa taasisi zote zinazoingiza kipato (generate income) kila taasisi imewekewa target ya kukusanya ikiwemo TRA kama zitashindwa kujiendesha na kuongeza kipato kwa Wakuu wa Taasisi watafute shughuli nyingine za kufanya jambo hili limeongeza efficiency kwa mashirika ya Umma.
8. Ameyafuta na kupunguza mashirika yanayoikwamua Serikali vilevile Rais Samia anataka kuunganisha mashirika ya Umma kuwa na idadi ndogo yenye ufanisi. Kupunguza utegemezi wa mashirika ya Umma kutoka Serikali kuu.
9. Ameweka zuio la uingizaji wa nafaka kama mchele, mahindi pamoja na Sukari isipokuwa kwa dharura kipindi cha majanga na hii ni kwa ajili ya kuhamasisha kilimo cha mazao hayo hapa nyumbani. Kibali cha kuingiza mchele ni adimu kama machozi ya Simba.
10. Benki kuu kununua dhahabu kwa ajili ya back up ya sarafu yetu lengo la Serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia ni kununua tani 6000 za dhahabu kila Mwaka. Jambo hili limeimbwa sana muda mrefu Rais Samia amelitekeleza now tumeimarisha sarafu pamoja na akiba ya fedha za kigeni.
#MamaYuKoKazini