Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,157
Mara nyingi viongozi wakigusiwa jambo hili hutoa wito kwa mashirika mengine ya umma kuongeza ubunifu na uzalishaji ili nao walipane vizuri.
Kuna mashirika ya umma
Kuna taasisi za umma
Kuna wakala wa serikali.
Kuna Mamlaka za udhibiti na usimamizi.
Kuna bodi mbalimbali
Kuna tume mbalimbali
Kuna ofisi mbalimbali
Kuna idara mbalimbali
N.k
Hivi vyote hapo juu vina majukumu tofauti.
Kuna wanaofanya kibiashara, kuna ambao wanatoa huduma kwa kutegemea ruzuku pekee.
Kuna ambao hawaingizi hata Senti.
Sasa msajili wa HAZINA anapowaomba wengine wazalishe zaidi ili nao waneemeke ina maana hajui miundo ya idara zote za serikali?
Kila mmoja anaweza kuwa productive akikaa sehemu inayozalisha. Je, watumishi wote waombe kuhamia kwenye uzalishaji mkubwa?
Kuna mtumishi katoka taasisi moja ya umma kwenda taasisi nyingine, mshahara wake kule umeongezeka mara 3.
Mifano iko mingi.
Nasema hivi kama serikali haiwezi kuwapandisha watumishi wote wakalipwa sawia kwasababu ya kuogopa gharama za kuendeshea serikali itakuwa kubwa ni vyema ipunguze watumishi wake ili wabaki watakaolipwa vizuri, hao ndio wabanwe kwa Sheria zote za utumishi wa umma.
Hivi kweli zama hizi za kumlipa mtumishi sh. Laki 4 ambayo ina Makato mengi ndani yake?
Tena nasikia basic salary ni chini ya laki 4.
Laki 5 ukitia psssf, NHIF na makato mengine kinabaki nini?
Kama kuna watumishi nature ya kazi yao ni ngumu na inahitaji muda zaidi ya watumishi wa idara zingine basi walipwe posho kwa mujibu wa Sheria.
Kuna mashirika ya umma
Kuna taasisi za umma
Kuna wakala wa serikali.
Kuna Mamlaka za udhibiti na usimamizi.
Kuna bodi mbalimbali
Kuna tume mbalimbali
Kuna ofisi mbalimbali
Kuna idara mbalimbali
N.k
Hivi vyote hapo juu vina majukumu tofauti.
Kuna wanaofanya kibiashara, kuna ambao wanatoa huduma kwa kutegemea ruzuku pekee.
Kuna ambao hawaingizi hata Senti.
Sasa msajili wa HAZINA anapowaomba wengine wazalishe zaidi ili nao waneemeke ina maana hajui miundo ya idara zote za serikali?
Kila mmoja anaweza kuwa productive akikaa sehemu inayozalisha. Je, watumishi wote waombe kuhamia kwenye uzalishaji mkubwa?
Kuna mtumishi katoka taasisi moja ya umma kwenda taasisi nyingine, mshahara wake kule umeongezeka mara 3.
Mifano iko mingi.
Nasema hivi kama serikali haiwezi kuwapandisha watumishi wote wakalipwa sawia kwasababu ya kuogopa gharama za kuendeshea serikali itakuwa kubwa ni vyema ipunguze watumishi wake ili wabaki watakaolipwa vizuri, hao ndio wabanwe kwa Sheria zote za utumishi wa umma.
Hivi kweli zama hizi za kumlipa mtumishi sh. Laki 4 ambayo ina Makato mengi ndani yake?
Tena nasikia basic salary ni chini ya laki 4.
Laki 5 ukitia psssf, NHIF na makato mengine kinabaki nini?
Kama kuna watumishi nature ya kazi yao ni ngumu na inahitaji muda zaidi ya watumishi wa idara zingine basi walipwe posho kwa mujibu wa Sheria.