Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,133
- 34,100
Habarini Wadau,
Ingia kwenye Idara za Afya na Elimu katika Halmashauri na ukiweza kuchunguza utagundua kuwa kuna Watumishi wengi wana madai ya Mishahara yao (ARREARS) za muda mrefu kweli
Pia katika Taasisi sasa nao wana madai haswa TANROAD na TANESCO
Inakuaje Mtu anayedai mishahara ya nyuma ya miaka minne mpaka mitano Hajalipwa ilihali yule anayedai mishahara ya miaka miwili nyuma analipwa?
Serikali inafikiri nini katika hili?
Ingia kwenye Idara za Afya na Elimu katika Halmashauri na ukiweza kuchunguza utagundua kuwa kuna Watumishi wengi wana madai ya Mishahara yao (ARREARS) za muda mrefu kweli
Pia katika Taasisi sasa nao wana madai haswa TANROAD na TANESCO
Inakuaje Mtu anayedai mishahara ya nyuma ya miaka minne mpaka mitano Hajalipwa ilihali yule anayedai mishahara ya miaka miwili nyuma analipwa?
Serikali inafikiri nini katika hili?