Lugovoy
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 573
- 170
Hizi Sophia Simba anafikiri watu wanaoenda kwenye maandamano ya CHADEMA wanapewa pesa kama ambavyo CCM walivyokuwa wanatoa pesa,kanga,t-shirt na kofia kwa watu ili waende kwenye mikutano yao wakati wa kampeni.Watu wanaoenda kwenye maandamano ya CHADEMA wanaenda kwa hiyari yao bila kuhongwa kwani wamesoma alama za nyakati kuwa CHADEMA ndo chama kitakachokuja kuwakomboa siku zijazo kutoka kwenye tabu na shida mbali mbali walizonazo.
Hii ndo kawaida yao ccm kutoa majibu mepesi kwenye maswali mazito,eti kama kuna matatizo:hana uhakika kama yapo,mnafiki huyu,serikali itayashughulikia
Huu umekuwa ni wimbo wa karne saizi unaelekea ku fade out,after all mkwere keshasema hatayamaliza,alafu cjui kuna siri gani kati ya huyu mama na mkwere?