Serikali: CHADEMA inapewa pesa kutoka nje kuleta machafuko Tanzania

Jamani wadau naomba kuwasilisha hoja.: mwenye CV ya huyu Sophia Kimba(simba) jamani aitandke hapa jamvini il 2jue 2namjadil m2 wa aina gan. Am out.
 
The CCM government is in denial.

and that is the first stage; soon we shall see anger (PM has promised this, lets wait for the Pres to come back), bargaining (they will always find a chance, this is CCM bwana and after all politicians are sometimes 'dogs', yes dogs), a bit of depression knowing their fate wouldn't be as grand and then when there is nothing left for them it'll come to acceptance of the fact that they are doomed!
 
Ama kwel mambo yanavyozd kuwa magumu ndipo ninapogundua kuwa kumbe CCM ina vilaza(poyoyo) weng sana. Huyu mama naye keshajihakishia uwepo wake ktk hyo group ya vlaza..... Jaman ngoja ninywe chai halafu baadaye ntawasilisha majina yote ya vilaza waliopo ccm...

nasubiri mkoloni
 
Jamani wadau naomba kuwasilisha hoja.: mwenye CV ya huyu Sophia Kimba(simba) jamani aitandke hapa jamvini il 2jue 2namjadil m2 wa aina gan. Am out.

Hii ipo humuhumu, itafute. By the way ni yule yule, after all people dont change!
 
Maneno ya Simba yana mantiki, si rahisi kuandaa maandamano kila kukicha, unahitaji bajeti nono. Jee fedha zinatoka wapi?

jamani mbona ccm wakiandamana hawaulizwi hela zinatoka wapi? naukumbiuke sasa hivi cdm ina pata ruzuku kubwa kuliko ya huko nyuma
 
Huyu simba alipata kuwaambia wanawake wagomee unyumba waume zao kama waume wataenda upinzani,,huyu ni mzigo kwa taifa...
 
Maneno ya Simba yana mantiki, si rahisi kuandaa maandamano kila kukicha, unahitaji bajeti nono. Jee fedha zinatoka wapi?

Wewe na Sophia ndo mmefanana tu. Ebu tueleze kila wanapoandamana wanatumia kiasi gani tukuelewe. Nguvu ya umma ndo zaidi ya pesa. Hivi hujiulizi kilichoatokea kwa MZ wkt wa uchaguzi mkuu?
 
Maneno ya Simba yana mantiki, si rahisi kuandaa maandamano kila kukicha, unahitaji bajeti nono. Jee fedha zinatoka wapi?

Yaani cheap propaganda kama hizi za watu wa elimu ya kuungaunga nazo unazikubali?

Tatizo la CCM kwa vile wamezoea kuwalipa watu na kuwasafirisha kwenda kwenye mikutano yao sasa wanafikiri maandamano yote lazima gharara iwe kubwa.

Hawajui kwa jinsi hali ilivyo gharama ya CHADEMA ni kuwapelekea wananchi ujmbe kwamba kuna maandamano hapa na wananchi watakuja. Sasa CCM jinsi walivyotumia hela kwenye uchaguzi na kukausha akaunti za serikali hawawezi tena kuitisha maandamano anytime soon. Ndiyo sababu wanaleta Vioja badala ya kujibu Hoja.
 
Amenitia hasira sana siyo maneno yake yananikera, zaidi kinachonitia kichefuchefu ni kwanini mpuuzi kama huyu awe Waziri wakati kuna Watanzania wengi sana wenye uwezo mkubwa Zaidi!!

Inanifanya niamini kuwa ni Uwaziri Ngono hata kama sina ushahidi.
 
anaye iongoza hii nchi (siongelei rais wetu) ana akili sana. amehakikisha ameweka watu wake kwenye nafasi nyeti ili ikilazimu waropoke pumba zozote wafanye hivyo ili kulinda maslahi yake.

huyu mama anongelea CHADEMA/maandamano yana fadhiliwa kutoka nje, kwanini kama serikali inaamini ufadhili huo una sababisha machafuko wasidhibiti hiyo hela na kuomba msaada kwa mataifa ya nje kushugulikia wafadhili hao. basi anagalau wataje hawa wafadhili wamejificha wapi na malengo yao ni yapi...

na kabla yakufatilia wa fadhili ya haya maandamano, watuambie kwanza FEDHA za UCHAGUZI/KAMPENI CCM WALITOA WAPI? CCM ina miradi gani kuendesha kampeni za garama namna ile?
 
Matamshi haya ya Sophia yanaonesha kuwa serikali ya Kikwete inaamini kuwa foreign governments are funding CHADEMA ili kifanye maandamano na kuleta vurugu nchini.

Watawala wanajiaminisha kuwa eti CHADEMA inawalipa wale maelfu ya Watanzania wanaojitokeza kwenye maandamano.

Msimamo wa serikali ya Kikwete imenikumbusha ya Gadaffi wa Libya ambaye US President Ronald Reagan alimuita kama "The Mad Dog of the Middle East" way back in 1986.

Gaddafi alisema: "Wananchi wa Libya wananipenda sana. Wanaoshiriki maandamano wamelishwa madawa ya kulevya na Al Qaeda na Marekani."

Pia kwa kusema "Kama kuna matatizo yoyote, serikali itayashuhulikia," hii ina maana kuwa watawala hawatambui matatizo lukuki ya wananchi wa Tanzania ambao ni kama kila mmoja kabeba gunia la misumari -- mgao wa umeme, Dowans, ufisadi, umasikini, ukosefu wa ajira, mfumuko wa bei, maisha magumu, kuporomoka kwa elimu, afya duni, ukosefu wa maji, maradhi, viongozi serikalini kutokuwa na maadili, wananchi kunyimwa haki zao, na mengineo mengi.

The CCM government is in denial.

Hizi Sophia Simba anafikiri watu wanaoenda kwenye maandamano ya CHADEMA wanapewa pesa kama ambavyo CCM walivyokuwa wanatoa pesa,kanga,t-shirt na kofia kwa watu ili waende kwenye mikutano yao wakati wa kampeni.

Watu wanaoenda kwenye maandamano ya CHADEMA wanaenda kwa hiyari yao bila kuhongwa kwani wamesoma alama za nyakati kuwa CHADEMA ndo chama kitakachokuja kuwakomboa siku zijazo kutoka kwenye tabu na shida mbali mbali walizonazo.
 
kuna uchunguz uliofanyika ambao umetufikia muda si mrefu kuwa chadema kinapokea fund from ROME

Je hii mnaionaje wanajamii?:llama::target::A S 100:
 
Wimbo huu tuliusikia pia kwa Mubarak (Misri), kwa Ben Ali Tunisia), Ghadafi (Libya) na sasa kwa Bi-Dikteta Sofia Simba (Tanzania)
 
'umetufikia' -- akina nani

umefanyika wap? lini?

has CDM or Holy See been reached for comment?

wewe unaionaje?
 
Hii ni tabia ya viongozi wa ccm na royal followers wao, wanashindwa kuangalia walipo jikwaa wanalaum walikoangukia waache upuuzi wawe waungwana wakubali kuzaliwa upya waache :blah::blah::blah:
 
Back
Top Bottom