hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
"Ameongea kwenye majukwaa, mashuleni hata vikao vya ndani ya CCM."
Jukwa gani ulishamwona EL kasimama kuhutubia? Labda sema aliongea huko monduli na kanisani tutakuelewa!
Tunahitaji watu wenye awareness na kumbukumbu kama wewe, mkuu!