tatizo nhi hii ss hv , baada ya Nyerere, hakuna mtu/kiongozi anayeweza kukemea maovu na watu wakamsikiliza/wakamtii. Kila mtu anaongea/anafanya tu jinsi anavyojisikia. Eti uhuru wa mawazo/matendo haiwezekani kukawa na uhuru bila kikomo. Hata kwenye familia lazima kuwe utaratibu ambao kila mtu ndani ya familia lazima aufuate vinginevyo ni vurugu.
You do not have to be a scientist to realize that joblessness among youth is a time bomb. Lowassa is simply a political opportunist.
Nimejibu hapo juu hili swali, vijana wa Kiislamu wameathirika zaidi. Pia tusiegemee sana kwenye udini, kumbuka hapa tunazungumzia tatizo la ajira nchini.Acha kulinganisha vitu viwili tofauti.Ina maana ukosefu wa ajira ni kwa vijana wa kiislam tu.
Kwame, EL angekuwa visionary angetumia mali anayotapanya kuongeza ajira zaidi kwa vijana wa mkoa wake. Thats vision!
Mtu aliyefikia kuwa na cheo cha PM na bado anahangaika na siasa, huyo hana vision kwa kuwa uzoefu wake pekee bila mali vinatosha kuajiri maelfu ya Watanzania.
Huu ni *****, Lowassa alifanya nini alipokua PM kuondoa hilo bomu? je ni kweli si dhahiri kua ukiwa vijana wengi wasio na kazi wanaweza kutumiaka vibaya? hii nayo inahitaji rocket scientist EL kuliona? kweli watumia akili ni wachache!
wewe umetumwa na nani kuja kumsafisha mtu? Au chimpumu na mnazi zinakuchanganya? Kuwa smart na unacho post.
WEWE UMESEMA VIZURI SANA. Ila swala la ajira nalo linasaidiaga watu kutokuwa watumwa wa maneno ya mtu kama Ponda.haya yanayotokea hayana uhusiano na ukosefu wa ajira. Ni upungufu tu wa ufahamu na maarifa kadhaa. Ni sawa na kutaka kutuaminisha kuwa hili ni Taifa la kiislam kwani wanaosumbua huko ni wao pekee. Hakuna wakristo wasio na ajira? Wamevunja cha mtu? Tatizo ni mbegu ya chuki na utengano inayopandikizwa kisiasa kwa mgongo wa imani
watu kama ninyi ndo akili mgando badala ya kuchangia hoja unatokwa mapovu...kisa EL. Achana na jina la mtu tathmini maudhui ya ujumbe.
Tatizo la ajira ni kwa wote. Lakini kwa sababu ya various factors, waislam wamekua affected disproportionaly. Kuna baadhi ya madai yao ni valid. Hayatatuliki kwa kutupiana lawama na kupigana virungu [ kwa pande zote mbili] bali kwa kukaa chini na kuyaongelea.
mimi nafikiri ya kwako ndio ime freeze ina hitaji kumwagiwa chumvi iyeyuke kama kule london wanapo mwaga chumvi kipndi cha winter yaani hapa tulipo na matatizo yote walioleta hao ccm huyaoni