Mjamii
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 1,027
- 312
mleta uzi ni mke wa tatu wa lowasa
EL ni opportunist yaaani hataki kufa bila kuwa raisi lazima tujiulize kuna nini ikulu?
mleta uzi ni mke wa tatu wa lowasa
if not cdm 2015 basi awe lowassa manake ndani ya ccm mimi naamini hamna kifaa kama lowassa.
sifa kubwa ya lowassa ni elements za kibabe alizonazo
lowassa sio mtu wa kuchezea, au wa kumletea usanii uchwara
lowassa ni mbabe na hii nchii inahitaji ubabe wa lowassa .
kashfa za richmond ni uzushi na chuki za sitta samwel za kunyimwa uwaziri mkuu.lowassa aligeuzwa mbuzi wa kafara .
hatuitaji rais wa aina ya membe au asha migiro.
tunataka wabebe wanaoogopwa, wanaofukaza watendaji kazi on spot
viva lowassa , lowassa 4 ccm 2015
cdm ikiteleza nafuu tudondokee kwa lowassa na sio akina membe
Kwame Nkrumah:
Maana ya Visionary ni: A person with unusual powers of foresight; Je unaweza kumjadili Lowassa katika muktadha husika kwa kutumia maana ya dhana hii?
What is so unusual kuhusu alichozungumza Lowassa? Nadhani hata Lowassa mwenyewe sana sana atakubali kuchukua credit kwa kulizungumzia akiwa kiongozi wa CCM, lakini atakwepa kwa kila njia kuitwa A Visionary kwa suala ambalo hata yeye anajua fika kwamba ameligundua kupitia tafiti na ripoti mbalimbali;
Suala hili limekuwa likizungumzwa kwa miaka mingi sana, kwa mfano rejea tafiti za REPOA, ESRF, na pia kutoka taasisi nyingine nyingi za nje ya nchi zinazojishughulisha na masuala ya Sera za Kutokomeza Umaskini Afrika; Suala hili limejadiliwa kwa kina sana pamoja na athari zake kwa miaka mingi, kabla hata Kikwete hajawa Rais wa Tanzania;
Kwame Nkrumah, kama tunampenda Lowassa kwa uongozi wake,jambo ambalo ni sahihi kabisa, tujaribu kumuunga mkono kwa hoja nzito, sio hizi nyepesi nyepesi; Lowassa anastahili sifa kubwa kwa kuwa Kiongozi wa CCM kulisemea hilo wakati wengine wakiwa wamelala, lakini tusinogewe na kuanza utamaduni wa kumjengea sifa zinazombatiza mambo mengine ambayo hata yeye anajua bado hastahili; Itafikia wakati tutasema Lowassa ni Visionary, lakini wakati huo sio sasa;
EL ni opportunist yaaani hataki kufa bila kuwa raisi lazima tujiulize kuna nini ikulu?