Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Kwa hiyo mtu akisema kwamba kuna tatizo la ajira Tanzania, na kwamba serikali iliyopo madarakani haifanyi jitihada zozote za maana kutatua tatizo hilo ni pumba?
naamini hata ulichokipost hujui maana yake, kiujumla umekurupuka!