kingabdiel
Member
- Mar 7, 2008
- 31
- 2
I thin that mr president is right, if they want their ASP, they will be given
I thin that mr president is right, if they want their ASP, they will be given
Umeme sisi tutachoma mafuta (Mungu si Athumani yapo tele huko) Huo wa maji kaeni nao wenyewe Mabwawa yakikauka shauri lenu. Lakini kura tutapiga ya maoni Muungano basi, na fidia mtatulipa. Hata ikiwa kulipiana "The Hague"
Vipi yakhe, vitabu vyote ameondoka navyo Marehemu Balali. Hizo,kumbukumbu ziko wapi? Lakini nyinyi mtaonekana mlivyotunyima mambo, kama hiyo miundombinu mkajitengenezea ya kwenu tu- (huo ni uchoyo). Nakubaliana nawe suala la uzembe lina nafasi kubwa katika hiyo kadhia ya umeme, na wafanye uchunguzi wa kina Kuna wengi wasioitakia mema Zenj yetu. Hatulii sana kutopendwa. Ndiyo ndugu mdogo Kaka- huelewi wewe.Kwani mtakuwa wa kwanza? Mbona USSR, Chekoslovakia, Yugoslavia hatuna tena?
Hivi mnadhani mkipata nyinyi mafuta bara yatakosekana? The Hague atafutwa mwenye haki na usijekuta mnaambiwa nyinyi mtulipe maana vitabu vyote vitakuwa wazi na nyinyi mapato ya karafuu yaliisha zamani! Msipende kututishia kuwa mtavunja Muungano. Fanyeni kweli muone kama tutalia! Tuone wale wote walio Sharif Shamba na msasani kama watarudi kwenu. Msitubabaishe.
Hapa pametokea uzembe kama alivyohisi Pundit na waliosababisha wachukuliwe hatua. Si hii biashara ya kila siku kuwa hampendwi!
Rais Karume amesema nini kufuatia hii kasheshe?
Vipi yakhe, vitabu vyote ameondoka navyo Marehemu Balali. Hizo,kumbukumbu ziko wapi? Lakini nyinyi mtaonekana mlivyotunyima mambo, kama hiyo miundombinu mkajitengenezea ya kwenu tu- (huo ni uchoyo). Nakubaliana nawe suala la uzembe lina nafasi kubwa katika hiyo kadhia ya umeme, na wafanye uchunguzi wa kina Kuna wengi wasioitakia mema Zenj yetu. Hatulii sana kutopendwa. Ndiyo ndugu mdogo Kaka- huelewi wewe.
Mheshimiwa Karume kasema watu watazoea mbona wenzao wa Pemba hawana umeme.
Ila wananchi wanasema kuwa kuna jamaa wale wanaovaa magwanda ,nimefahamu amekusudia polisi anasema wananuka ile mbaya , na pia watu siku hizi hawapiti chini ya zile nyumba za magolofa ,kuna viparcel vya vifuko vya rambo huwa vinarushwa kutoka kusiko julikana bila mpango usiombee kikakupiga cha kichwa ,unaweza ukaisahau bahari iko upande gani .
Hata mimi naona ikiwa hili jambo litatimia miezi mitatu na sio mmoja ni bora serikali ijiuzulu yaani ni kitu kiko wazi kabisa ,kuonyesha kuwa serikali imeshindwa kabisa ,halafu kila mmoja atafute njia aelekee.
Nyakati za usiku beach za Unguja hugeuka kuwa nude beach ,watu kibao wanakoga na kufanya haja zote ,hakuna kuona haya au yale ,ndio hivyo wameanza kuzoea.
ila mazao kutoka pemba yaja na meli za CCM wakija unguja hupanda CUF imepoteza Ngome yake