Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye Mikoa iliyounganishwa na Gridi hiyo.

“Juhudi za kurejesha mfumo zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wetu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa”

Snapinsta.app_424919082_3474762772854513_5074790603112628109_n_1080.jpg
 
Tanesco kwa ujumla wake ni shida kabisa, taifa litafute mwekezaji mwenye teknolojia pevu ya kisasa asiwe Mwarabu awe Muingereza marekani au Mjerumani, akomeshe ujinga huu, zaidi ajenge mfumo mwingine mpya, taifa liwe na alternatives national grids, ziwe zinasaidiana.
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye Mikoa iliyounganishwa na Gridi hiyo.

“Juhudi za kurejesha mfumo zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wetu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa”

View attachment 2893086
Kenge tanesco,kenge matapeli yote. Kufeni haraka
 
Back
Top Bottom