Leo nilikuwa Kijitonyama, aiseee siyo kwa joto lile, nimewakuta wanangu wamekuwa wekundu kama wanapikwa kwenye tanuru la mkaa.
Ningeshauri Serikali bora ibinafsishe hili Shirika la Umeme iwape Wawekezaji kwani. Tanesko imeshindwa kulitatua tatizo la upungufu wa umeme takriban zaidi ya miaka 40 tangu wakati wa utawala wa Rais Mwinyi haya matatizo ya umeme yalikuwepo na mpaka sasa utawala wa Mama Rais pia mataizo ni yale yale hayaja malizika.
Hii nyimbo sijuwi itamalizika lini?
 
Ningeshauri Serikali bora ibinafsishe hili Shirika la Umeme iwape Wawekezaji kwani. Tanesko imeshindwa kulitatua tatizo la upungufu wa umeme takriban zaidi ya miaka 40 tangu wakati wa utawala wa Rais Mwinyi haya matatizo ya umeme yalikuwepo na mpaka sasa utawala wa Mama Rais pia mataizo ni yale yale hayaja malizika.
Hii nyimbo sijuwi itamalizika lini?
Likibinafsishwa watalichukua akina Maropes, Napy na Riz1
 
Manara anaitenganisha vipi Tanesco na Serikali?, kweli u Chawa kazi sana, unatamani kumwambia boss ukweli ila ukiwaza tumbo akili yote inakutoka.
Nimemshangaa sana kiukweli..Shirika linamilikiwa kwa 100% na Serikali, Wizara inayoisimamia ipo chini ya Naibu Waziri Mkuu ambaye ni Mjumbe wa CC,Mbunge..Angesema, tena kwa SAUTI kuu, "MHESHIMIWA RAIS, KWA HILI LA UMEME,UNATUKWAZA"

N.B
Viongozi bora hufahamika kwenye nyakati NGUMU
 

Attachments

  • 05FB89BF-EA91-4672-813D-798E759552F9.jpeg
    05FB89BF-EA91-4672-813D-798E759552F9.jpeg
    71.8 KB · Views: 2
Hili shirika liuzwe Kila Mtanzania afe na chake,Toka Jana sijala kichwa na mm ni kinyozi Unadhani maisha yanaendaje?Walahi inachosha kishenzi nilidhani nikiamka Leo nakuta umeme kumbe wamerudisha saa nane usiku wamekata 12 Asubuhi,Ukiangalia sikuu kuu zipo usoni.
 
Haji nani anakwambia kuwa wananchi wamekubaliana na mgao wa umeme?

Nani amekwambia kuwa wananchi wameelewa kuhusu kukosekana kwa umeme?

Usiwawekee maneno mdomoni wananchi.

Ni vile hawana jinsi.
 
Back
Top Bottom