Sasa kumbe una mambo alafu unapita nayo haraka hivyo?
Si niachie hayo mambo japo tumba!
hahaaaa...
naona umetuachia cheko.
Cheko chuchu hilo! Cheko bila mambo nalo cheko ?
Cheko na mambo!
Mboga zipo mnalumanga!
Inahu....?
Hahahaaaaa.........
haya bhana.......
inahuuuu....!
Ni mgomo wa madaktari umemuathiri au kapigwa ban? Maana si kawaida!
asante ndugu yangu kwa kunikumbuka, mimi sasa hivi ni phd ndio maana nimepotea kaka
Eti ee!
asante ndugu yangu kwa kunikumbuka, mimi sasa hivi ni phd ndio maana nimepotea kaka
huamini?
weka @ then jina la mtu. so simple.. Mwali alitoroshwa na mkenya mmoja anayejiita AmbitiousWow! Got you back! Hapo pekundu unamaanisha wewe sasa hivi ni "Philosophiæ Doctor" (PhD)? Kama ni ndivyo nimegundua kumbe Mlitika ni jirani yako. Kabla sijakupongeza naomba niwasilishe ujumbe. Katika baraza la JF Chit-Chat jana lililohudhuriwa na Erickb52, Mtalingolo, Charminglady, Judgement, Tanmo, Mlitika, Remmy, Mamndenyi, Kongosho, Bishanga, Madame B na wengineo wengi, CUTE alileta mashitaka kuwa wewe Saint Ivuga umemtorosha MWALI na kutokomea naye na hadi sasa haijulikani aliko. Baraza linakutaka umrejeshe MWALI mara moja kabla hatua za ki-JF hazijazingatiwa juu yako! (Sorry wakuu, sijui namna ya ku-"mention")
Madame B ngoja nii skani then nikupmMe Thomaso.
Mpaka Niguse,
ndo naamini.