Mwaka 2012 Dkt. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana.
Sababu kuu ya kutekwa ilikuwa ni kuongoza mgomo wa Madaktari nchi nzima waongezwe mshahara kutoka 950k hadi 3.5m. Aliitwa chemba apozwe asitishe mgomo, akagoma.
June 27, 2012 akiwa Leaders Club akatekwa, June 28 akaokotwa msitu wa Mabwepande akiwa hana baadhi ya meno na kucha.
Chanzo
Je yuko wapi kwa sasa Dr. Ulimboka?
Hii ndiyo ilikuwa hali yake baada ya kutekwa.
Sababu kuu ya kutekwa ilikuwa ni kuongoza mgomo wa Madaktari nchi nzima waongezwe mshahara kutoka 950k hadi 3.5m. Aliitwa chemba apozwe asitishe mgomo, akagoma.
June 27, 2012 akiwa Leaders Club akatekwa, June 28 akaokotwa msitu wa Mabwepande akiwa hana baadhi ya meno na kucha.
Chanzo
Je yuko wapi kwa sasa Dr. Ulimboka?
Hii ndiyo ilikuwa hali yake baada ya kutekwa.