mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,330
- 4,854
Na kama wangekuwa wanachukua tuzo naamin mwaka huu ningechukua tuzo ya mpigwa block na members wenzake, na huwa sijuagi nakosea wapi mpaka members kunipiga block, cha kushukuru sijawahi pigwa banned toka nijiunge jamiiforums ila ajabu wanachama wenzangu wa mtandao huu ndio wanaoongoza kunipiga block mpaka sasa nimepigwa block na members wapatao 96 vipi wakuu nakosea wapi?
Au mi ni genious vichwa panzi wanaona sio level zao mniambie pengine naweza kuhama dunia na kwenda kuanzisha ulimwengu wangu na kuchukua magenios wenzangu, mana kukaa meza moja na elon mask na kunisikiza na kutii nilichoongea si swala dogo ni akili kubwa kweri kweri
Au mi ni genious vichwa panzi wanaona sio level zao mniambie pengine naweza kuhama dunia na kwenda kuanzisha ulimwengu wangu na kuchukua magenios wenzangu, mana kukaa meza moja na elon mask na kunisikiza na kutii nilichoongea si swala dogo ni akili kubwa kweri kweri