Mgomo huo
hapana hayuko huko ktk hilo kundi kabisa.....he will be here soonNi mgomo wa madaktari umemuathiri au kapigwa ban? Maana si kawaida!
charminglady usiwe na wasi shost....yuko fine sema kuna mambo yamemzinga sana but he is fine worry not my dearmh, hata mie cjamtia machoni kwa cku kadhaa. . . hebu ngoja nicheck na ex-mke mwenza CUTE huenda akawa na majibu!
Hata wewe mi pia sijakutia machoni tangu jana.
TANMO acha uongo jamani khaa! ngoja aamkeAnasubiri Boom la mwezi wa kumi...
hivyo mvumilieni kwa miezi hii mitatu ambayo atakuwa hewani kwa kusua sua..
Kwa maelezo zaidi, tembelea Ofisi za Idara ya Habari MAELEZO...
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Mawasiliano JeiEfu...
Hata wewe mi pia sijakutia machoni tangu jana.
charminglady usiwe na wasi shost....yuko fine sema kuna mambo yamemzinga sana but he is fine worry not my dear
Mnatianaje machoni aisee????
Mmmm......
mambo hayo....