Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Kifupi sijaelewa kitu hapo. Kwanza nina maswali machache
1. Simba kafa?
2. Nani alichukua picha?
3. Jamaa kafa?
3. Hii habari iko gazetini au ni picha tu?
Mwisho, mleta mada akajipange upya. Asilete vitu visivyo na kichwa wala miguu. Kuna habari za kimizaha lakini hii ni tofauti. Leta habari iliyokamilika. Najua waliotazama hi picha hawajapata majibu ya maana hata kidogo
1. Simba kafa?
2. Nani alichukua picha?
3. Jamaa kafa?
3. Hii habari iko gazetini au ni picha tu?
Mwisho, mleta mada akajipange upya. Asilete vitu visivyo na kichwa wala miguu. Kuna habari za kimizaha lakini hii ni tofauti. Leta habari iliyokamilika. Najua waliotazama hi picha hawajapata majibu ya maana hata kidogo