johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Mshauri mkuu wa Ulinzi wa Marekani mh Suvillan akutana na Rais Mahamoud Abbas wa Palestine kupanga Gaza Ijayo itakavyokuwa
Marekani Wanataka Gaza ikabidhiwe kwa Mamlaka ya Palestine chini ya Abbas lakini Netanyahu amesema watakaa Wana wa Israel
Al jazeera news
Marekani Wanataka Gaza ikabidhiwe kwa Mamlaka ya Palestine chini ya Abbas lakini Netanyahu amesema watakaa Wana wa Israel
Al jazeera news