Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Huyo simba vipi hapo naye aliuwawa na askari wa wanyamapori? kamirisha hii habari Tafadhali.
alikimbia na mkono mmoja tu...na jirani yake kulikuwa na kundi la simba kama 6 wanakuja
nafikiri ilikua ni luhanjado auMkuu hapa hichi kipengere hakiihitaji majibu mepesi kwa maswali mazito, cameran alikuwa wapi?na alivyowaona hao simba sita wanakuja yeye alikuwa kwenye mazingira gani? sio nia yangu kubishana, ila ungeileta hii story katika mtiririko mzuri ili tujuwe wats happen? na ujuwe serou game reserve ni kubwa kuliko nchi ya Djibout. ni vizuri kama tutaijuwa hiyo sehemu ni, Barani, kingupira, luhanjando, migingo, luwele au wapi? Asante.
Inasikitisha ila vifo vingine kama vya kizembe vile?huyu msela kwa nini hakuwa hata na mkuki?alijiamini vipi?anyway r.i.p
pamoja na hayo mkuu ila mi hunipitishi hayo maeneo bila kinga yeyote.hata bush knife?huyu sio mwindaji alikuwa anaenda kutafuta riziki yake ya kila siku