mkuu umenena kabisa hapa wakubwa wetu ndio wa kupewa lawama kwa kusnidw kutengeneza miundombinu ya kuepusha haya majanga....na utalii ndio unaongoza kwa kuingiza pesa kwenye pato la taifa
Natamani nimchukue ROSTAM AZIZI nimpeleke hapo Selou kisha nimbwage hapo niondoke.
... na kunyonya damu ya jamaa shingoni na kuondoka..
Sikujua simba anaweza kuacha ku go for red meat aanze kulamba lamba midamu.hapo simba analamba damu ya mwendesha baiskeli liyomwagika chini...
Photoshop at work, nothing else. Credit given though
Sikujua simba anaweza kuacha ku go for red meat aanze kulamba lamba midamu.
unafikiri pale kwenye sura kitabu mtu mmoj tu ndie anaruhusiwa kiuweka hii picha? kama iliwekwa mwaka 2009 dec ...basi ndio mimi:car:Mkuu wewe ndo mwenye hiyo profile ya surakitabu?
Hamna maelezo zaidi juu ya hii picha?
Ivuga source plz nataka kujua zaidi nini kilijiri
Haya yanaweza kumkuta mtu yeyote,tusianze kulaumiana kwa hili jamani kwani haijulikani chanzo cha tukio hili maana kuna mambo ya kushangaza kuhusu hii picha.
Inasikitisha ila vifo vingine kama vya kizembe vile?huyu msela kwa nini hakuwa hata na mkuki?alijiamini vipi?anyway r.i.p
unafikiri pale kwenye sura kitabu mtu mmoj tu ndie anaruhusiwa kiuweka hii picha? kama iliwekwa mwaka 2009 dec ...basi ndio mimi:car:
but u cool down