bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,211
Chama cha Mapinduzi kimefanya Kikao cha Kawaida cha Halmashauri Kuu ya CCM ambapo pamoja na mambo mengine, Kikao hicho kilijadili hali ya Kisiasa ndani ya Chama na nje ya Chama
Aidha, kimefanya uteuzi wa Mwisho wa Wagombea wa nafasi za Uongozi ndani ya Chama kwa ngazi ya Mkoa na Wilaya ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi kutokana na sababu mbalimbali
Katika uteuzi huo, Loy Thomas Sabaya, ambaye ni Baba wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ametuliwa kuwa mmoja wa Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM mkoani Arusha
IKUMBUKWE
Mwaka 2015, Loy Thomas Sabaya aliteuliwa na CCM kugombea Ubunge kupitia chama hicho katika Jimbo la Arumeru Magharibi. Jimbo hilo lilienda kwa Gibson Blasius Meiseyeki wa CHADEMA
Pia, ameshawahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti.
Pia soma; Sabaya Senior (Loy Sabaya) apata Ushindi wa Kishindo Uenyekiti CCM Arusha
Aidha, kimefanya uteuzi wa Mwisho wa Wagombea wa nafasi za Uongozi ndani ya Chama kwa ngazi ya Mkoa na Wilaya ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi kutokana na sababu mbalimbali
Katika uteuzi huo, Loy Thomas Sabaya, ambaye ni Baba wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ametuliwa kuwa mmoja wa Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM mkoani Arusha
IKUMBUKWE
Mwaka 2015, Loy Thomas Sabaya aliteuliwa na CCM kugombea Ubunge kupitia chama hicho katika Jimbo la Arumeru Magharibi. Jimbo hilo lilienda kwa Gibson Blasius Meiseyeki wa CHADEMA
Pia, ameshawahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti.
Pia soma; Sabaya Senior (Loy Sabaya) apata Ushindi wa Kishindo Uenyekiti CCM Arusha