MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
So sad....RIP Ngahyoma
Maneno Mazito sana MkuuNaamini kama angeamka hata dk tano aone hizi RIP messages angezikataa kabisa. Maana jamaa kasota pale Hospt Segerea hakuna hata mshjikaji wala jamaa wa kumuona. Alikuwa anauliza- hivi fulani yupo, hivi jamaa yangu fulani yupo, hivi yule mwandishi yupo, hivi yule dada fulani yupo. Akijibiwa kuwa wote hao wapo alikuwa anatoa machozi. '' Kila mpatapo msiba basi jifunzeni kwa hilo"
Lakini la muhimu jamani tunapokuwa wazima tujitahidi sana kujali sana familia zetu, wala tusiwanyanyase wake zetu kwa sababu ya kuwa busy na mademu wa hapa mjini, Mungu hakawii kuwalipia kisasi wanaowanyanyasa wake zao wa ujana ( Simaanishi Ngahyoma ndiyo alivyokuwa) ila mwenye macho na aone neno ambalo Roho aiambia JF leo...........................
Naomba niende off topic kidg. Hv mtu akijawa na majipu alafu akawa anakohoa sana then anapungua kabisa yaweza kuwa kisukari? Manake swahiba wangu Ngahyoma nae mazingira haya alikuwa nayo!
Naamini kama angeamka hata dk tano aone hizi RIP messages angezikataa kabisa. Maana jamaa kasota pale Hospt Segerea hakuna hata mshjikaji wala jamaa wa kumuona. Alikuwa anauliza- hivi fulani yupo, hivi jamaa yangu fulani yupo, hivi yule mwandishi yupo, hivi yule dada fulani yupo. Akijibiwa kuwa wote hao wapo alikuwa anatoa machozi. '' Kila mpatapo msiba basi jifunzeni kwa hilo"
Lakini la muhimu jamani tunapokuwa wazima tujitahidi sana kujali sana familia zetu, wala tusiwanyanyase wake zetu kwa sababu ya kuwa busy na mademu wa hapa mjini, Mungu hakawii kuwalipia kisasi wanaowanyanyasa wake zao wa ujana ( Simaanishi Ngahyoma ndiyo alivyokuwa) ila mwenye macho na aone neno ambalo Roho aiambia JF leo...........................
naomba niende off topic kidg. Hv mtu akijawa na majipu alafu akawa anakohoa sana then anapungua kabisa yaweza kuwa kisukari? Manake swahiba wangu ngahyoma nae mazingira haya alikuwa nayo!