\\ujumbe mzitoNaamini kama angeamka hata dk tano aone hizi RIP messages angezikataa kabisa. Maana jamaa kasota pale Hospt Segerea hakuna hata mshjikaji wala jamaa wa kumuona. Alikuwa anauliza- hivi fulani yupo, hivi jamaa yangu fulani yupo, hivi yule mwandishi yupo, hivi yule dada fulani yupo. Akijibiwa kuwa wote hao wapo alikuwa anatoa machozi. '' Kila mpatapo msiba basi jifunzeni kwa hilo"
Lakini la muhimu jamani tunapokuwa wazima tujitahidi sana kujali sana familia zetu, wala tusiwanyanyase wake zetu kwa sababu ya kuwa busy na mademu wa hapa mjini, Mungu hakawii kuwalipia kisasi wanaowanyanyasa wake zao wa ujana ( Simaanishi Ngahyoma ndiyo alivyokuwa) ila mwenye macho na aone neno ambalo Roho aiambia JF leo...........................
kesho ni kibonde. over
Naamini kama angeamka hata dk tano aone hizi RIP messages angezikataa kabisa. Maana jamaa kasota pale Hospt Segerea hakuna hata mshjikaji wala jamaa wa kumuona. Alikuwa anauliza- hivi fulani yupo, hivi jamaa yangu fulani yupo, hivi yule mwandishi yupo, hivi yule dada fulani yupo. Akijibiwa kuwa wote hao wapo alikuwa anatoa machozi. '' Kila mpatapo msiba basi jifunzeni kwa hilo"
Lakini la muhimu jamani tunapokuwa wazima tujitahidi sana kujali sana familia zetu, wala tusiwanyanyase wake zetu kwa sababu ya kuwa busy na mademu wa hapa mjini, Mungu hakawii kuwalipia kisasi wanaowanyanyasa wake zao wa ujana ( Simaanishi Ngahyoma ndiyo alivyokuwa) ila mwenye macho na aone neno ambalo Roho aiambia JF leo...........................
Maneno Mazito sana Mkuu
Amefariki dunia leo asubuhi nyumbani kwake jijini dar es salaam.hii ni kwa mujibu wa bbc swahili jioni hii.amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake mkunguni,na anatarajiwa kuzikwa siku ya jumapili katika makaburi ya kinondoni.ameacha mjane na watoto watatu (R.I.P).mungu ailaze roho ya marehemu kwa Amani