wamemshindwa jk wankimbilia kwa mtoto! Mfa maji bwana!
Unapokua katibu mkuu wa chama mimi nadhani ni nafasi kubwa ya kufanya shughuli za kiutendaji za chama chako! Uchaguzi umepita huyu mzee bado yupo kwnye kampeni! Mstueni jamani, mkumbusheni yeye ni katibu mkuu na si mgombea tena! Ajifunze kwa akina Mcain na wengineo!
Kwanza kushangaa mtoto wa rais kukaa kwenye nyumba nzuri, kuendesha gari nzuri, na kuwa na maisha mazuri ni ushamba! Mlitaka watoto wa wahindi ndio wawe hivyo?
Kuweni great thinkers basi kama mnavyojiita!
Unapokua katibu mkuu wa chama mimi nadhani ni nafasi kubwa ya kufanya shughuli za kiutendaji za chama chako! Uchaguzi umepita huyu mzee bado yupo kwnye kampeni! Mstueni jamani, mkumbusheni yeye ni katibu mkuu na si mgombea tena! Ajifunze kwa akina Mcain na wengineo!
Kwanza kushangaa mtoto wa rais kukaa kwenye nyumba nzuri, kuendesha gari nzuri, na kuwa na maisha mazuri ni ushamba! Mlitaka watoto wa wahindi ndio wawe hivyo?
Kuweni great thinkers basi kama mnavyojiita!