OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Baada ya kujitangaza kuwa Milionea na kukanusha Ubilionea. Leo hii ameamua kukutana na waandishi wa Habari katika hoteli ya hadhi yake ya New Afrika. Mashuhuda wetu wameshavinjari eneo la mkutano huo na wakati Milionea Rizwani atakapoanza kumwaga data za wapi alipata umilionea wake na kukanuasha kufikia ubilionea, watakuwa wakitupatia taarifa.