Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 700
BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
WAPI?
Jamaa hana hizo AKILI HATA KIDUCHU
Mnamuonea tu labda ungesema kaongeza nyumba ndogo ndo ungeleweka