nawapa watanzania wote pole bila kusahau familia ya mareheu Rehema Mwakangale, pamoja na kampuni ya IPP MEDIA. Mungu ailaze roho ya marehema pema Amen.
Rehema wakati wako wa kwenda kumtumikia Mungu pamoja na malaika umewadia so namuomba Mungu wangu na akupe pumziko la milele na mwanga wa amani akuangazie ustarehe kwa amani, kila nafsi itaonja mauti,Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.