Njimba Nsalilwe
JF-Expert Member
- Mar 23, 2008
- 252
- 3
R.I.P Rehema
Jamani kabla hatujamtukuza Mungu KWA KAZI YAKE KAMILIFU ni vyema tukajiuliza maswali.
Mwenzetu alikuwa anasumbuliwa na nini? aliugua kwa kipindi gani? Ingewezekana juhudi za kibinadamu kuuokoa uzima wake?
...Ni vyema, tukawa tunajiuliza matatizo yanayowakumba wananchi wenzetu..je chanzo ni nini? na ni vipi vifo kama hivi vinaweza kuepukika? Haitoshi kusema ni mapenzi ya Mungu...we have to do more.. Leo dereva anaendesha gari kwa uzembe anasababisha ajali ya watu hamsini wote wanakufa..lakini hakuna anayeuliza hard question..wote...ni msemo ule ule.."mipango ya Mungu" really? Leo tunamzika Albino..aliyeuawa kikatili..msemo ni ule ule..ni "mapenzi ya Mungu" NADHANI HUYU MUNGU tunamsingizia mengine.
Uhai wa mtu uthaminiwe. na Kuuthamini ni kuuliza matatizo kama haya kusudi kama ni juhudi kufanyika next time..watu wajitahidi. Kama ni malaria..watu wajue namna ya kukabiliana na mbu. nk... Tuache kuchanganya imani zetu na vitu ambavyo hakika vinaepukika. Jiulize huyu dada kama ndo lets say kaolewa juzi juzi (simjui kiundani)..ameacha mme na mtoto..hii yote ni hasara tupu...mtoto atakuwa yatima..bwana atakuwa mjane nk...
RIP Rehema! You were an incredible girl full of life and energy!
Raha ya Milele umpatie ee bwana, Mwanga wa milele umwangazie.
Tunaweza pata kidogo historia fupi ya marehemu?
Jamani mwenye data p'se.
Tupo pamoja ndugu,rafiki,wapenzi wa ITV na maadui katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.