Nasikiliza redio free Africa,mtangazaji hajui nane nane inafungiwa mkoa gani kitaifa na mgeni rasmi ni Nani?hajui Rais yupo wapi?

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Moja y sifa nzuri ya mwanahabari ni kusoma uwezi kuwa mwanahabari mzuri upendi kujisomea.

Uwezi kuwa mtangazaji mzuri ambae upendi kusikiliza vyombo vingine vya habari

Sasa najiuliza kweli Leo ni siku ya nane nane kitaifa, na kitaifa unafanyika mkoani mbeya uwanja wa mwakangale.
Mtangazaji WA redio free Africa anajua Leo ni nane nane na kitaifa inayika mbeya na anataja mahali inapofanyika lakini hajui mgeni rasmi ni Nani anae funga maonesho hayo.

Huyo mtangazaji ni WA kiume,yaani ameingia studio hajui hata Rais WA nchi Jana amelala wapi?

Nauliza ule mswada WA habari ulio taka walai mwanahabari awe na diploma ulitupiliwa mbali au ndo hiyo Sheria ilipitishwa na kilaza msimamia vilaza?

Hii no aibu Kwa taifa.
 
Moja y sifa nzuri ya mwanahabari ni kusoma uwezi kuwa mwanahabari mzuri upendi kujisomea.

Uwezi kuwa mtangazaji mzuri ambae upendi kusikiliza vyombo vingine vya habari

Sasa najiuliza kweli Leo ni siku ya nane nane kitaifa, na kitaifa unafanyika mkoani mbeya uwanja wa mwakangale.
Mtangazaji WA redio free Africa anajua Leo ni nane nane na kitaifa inayika mbeya na anataja mahali inapofanyika lakini hajui mgeni rasmi ni Nani anae funga maonesho hayo.

Huyo mtangazaji ni WA kiume,yaani ameingia studio hajui hata Rais WA nchi Jana amelala wapi?

Nauliza ule mswada WA habari ulio taka walai mwanahabari awe na diploma ulitupiliwa mbali au ndo hiyo Sheria ilipitishwa na kilaza msimamia vilaza?

Hii no aibu Kwa taifa.
Hao vilaza wanaookotezwa mitaani ndio madhara yake ,kwanza hicho kiredio kiko.local sana pamoja na tv yake
 
Hao ni wale ambao hata kuhamisha kitu kwa bluetooth lazima amtafute mtu amsaidie. Kifupi ni maduduna wa kutafuta habari
 
Umejuaje hajui, maana isiwe wewe Ni wale ukiona mwalimu anamuuliza mwanafunzi Historia ni Nini kwaakilo zako unasema mwalimu hajui hata maana ya Historia.
 
Mkuu Kwani ww imekusaidiaje ulivyojua nane nane ipo mbeya na kwamba rais ndio mgeni rasmi?Kama imekupatia maokoto tugawane.
 
Moja y sifa nzuri ya mwanahabari ni kusoma uwezi kuwa mwanahabari mzuri upendi kujisomea.

Uwezi kuwa mtangazaji mzuri ambae upendi kusikiliza vyombo vingine vya habari

Sasa najiuliza kweli Leo ni siku ya nane nane kitaifa, na kitaifa unafanyika mkoani mbeya uwanja wa mwakangale.
Mtangazaji WA redio free Africa anajua Leo ni nane nane na kitaifa inayika mbeya na anataja mahali inapofanyika lakini hajui mgeni rasmi ni Nani anae funga maonesho hayo.

Huyo mtangazaji ni WA kiume,yaani ameingia studio hajui hata Rais WA nchi Jana amelala wapi?

Nauliza ule mswada WA habari ulio taka walai mwanahabari awe na diploma ulitupiliwa mbali au ndo hiyo Sheria ilipitishwa na kilaza msimamia vilaza?

Hii no aibu Kwa taifa.
Huyo ni wa Mwanza.Nikupe Siri tuu hata kwenye TV nae kaxhapia,mmmm,kiukweli wewe unatakiwa ujue nchi hii watu Wana chuki kupita kiasi,kuna watu wako hapo jijini Mbeya na bado wanaamini Mbeya sio kitu,nimejituliza lakini pia nimejikausha,na wewe pia ungejikausha wala usingepata majoto.
 
Kama hujui huku kanda ya ziwa kwanza toka jpm afe hata huwa hatujui kuhusu rais wa nchi
Mfano kwenye sherehe za simba day tulikuja kujua kuna rais baada ya yeye kupewa maik na kuongea
 
Back
Top Bottom