Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Lala salama REGIA...
gari hii hapa
Hasira hasara. Watu wengi tumeguswa na kifo cha Komando wetu. Busara ni kumjibu tu kama unajibumkuu, swali la huyu bwana ni la kijinga na la maudhi at this perticular time. Anisamehe kama nimemkwaza, kwa bahati mbaya wengine wetu kifo chake kimetugusa kiasi ambacho discusion ya namna hii inaweza ikapelekea kichapo kama angekuwa karibu.
Jamani we, search Mtu anaitwa Lena Maria, ( sorry about the spelling).Anaelezea kuhusu watu ambao wako physically handicapped lakini wanafanya vitu vingi sana kuliko watu wengi ambao ni physically able.
Nimesikitishwa na taarifa za msiba wa muheshimiwa Regia Mtema, inasemekana alikuwa anaendesha gari yeye mwenyewe sasa mimi najiuliza hivi gari hiyo ilikuwa ni ya buttons za kubonyeza kwa mkono maana mguu wake wa kulia ndio wenye ulemavu sasa brake accelerator angewezaje kuzikanyaga au ilikuwa LHD? ni risk sana kuendesha gari kwa mtu ambaye ni physically challenged in udadisi tu
Nimesikitishwa na taarifa za msiba wa muheshimiwa Regia Mtema, inasemekana alikuwa anaendesha gari yeye mwenyewe sasa mimi najiuliza hivi gari hiyo ilikuwa ni ya buttons za kubonyeza kwa mkono maana mguu wake wa kulia ndio wenye ulemavu sasa brake accelerator angewezaje kuzikanyaga au ilikuwa LHD? ni risk sana kuendesha gari kwa mtu ambaye ni physically challenged in udadisi tu
tutumie - watu wenye ulemavu badala ya vilema. Na pia physically challenged badala ya disabled. Nadhani sijakosea
Taarifa ya jeshi la polisi inasema alikuwa anaendesha mwenyewe.Alikua haendeshi bali alikua anaendeshwa na dereva wake...........haya acheni kubishana sana.Dereva wake na ndugu wengine waliokuwemo wamepona.
jaribu kutumia lugha nzuri, unapotumia neno "ki"lema au "vi"lema au mdhalilisha mtu. "Ki" inatumika kwa vitu. Mfano kisu,kijiko,kikombe nk. Hali kadhalika visu,vijiko,viti nk, tumia neno mlemavu. Asiyesikia(kiziwi) asiyeona(kipofu) nk. Acha kufananisha watu na vitu. Huko ni kudhalilisha.
Ameandika usitumie neno lolote la ki au vi , just say mlemavumbona kiziwi nayo inaanza na ki?
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Saleh Mbaga alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kuongeza kuwa ilitokana na hatua ya Mbunge huyo kulipita gari lililokuwa mbele yake na ghafla likatokea roli la mafuta na
alipotaka kurejea upande wake gari hilo lilimshinda na kubiringita mara saba.
Alisema hata hivyo ajali hiyo imechangiwa kwa kiasi kikubwa na hatua ya Mbunge huyo kuwa na ulemavu wa mguu na hivyo kuwa na mguu mmoja tu wa kushoto ambao alisema inadhaniwa ulimpa tabu katika kufanya uamuzi baada ya kutokea kwa lori hilo la mafuta mbele
yake.
Kama mnavyojua pedeli za gari zipo upande wa kulia lakini yeye alikuwa anatumia mguu wa kushoto kwa hiyo inawezekana kutokana na mshituko wa kutokea gari mbele, alibabaika katika kuutumia mguu huo wa kushoto kufanya uamuzi na hivyo kusababisha gari kumshinda na kupinduka, alisema Mbaga.
Chanzo HabariLeo | Mbunge Chadema afa ajalini Ruvu
Nadhani sasa kuna haja ya mamlaka husika kuhakikisha watu wenye ulemavu wanaendesha magari sahihi kwa hali zao
huyu polisi kichwa maji kabisa, amejuaje kwamba mguu ndii uliochangia? Amefanya any simmulations na kuona kuna possibility ya 'kuchangia'? Hizi statement za kitaalamu zinazotolewa kama story za kijiweni ni hatari sana.
Kama angekuwa na miguu yote na ajali ikatokea ingekuwa imechagiwa na nini?
Je, huyu polisi anajua capability na sensitivity ya mguu wa kushoto wa marehemu Regia? Anajua mguu wake ulikuwa na uwezo gani?
This is ridiculous!!!
Wote tuna uchungu,inashangaza watu wanatukana!nilijiuliza hilo tangu jana tatizo kuna watu wanajifanya wana uchungu kutupita wote,.mtaani unaweza kuwaita wachawi,kama kosa lilikuwa la marehemu tujue,r.i.p regia