Nyumbani kwako labda useme ivyo. Tena tv ndo kabisa bora ungenyamazaUkweli mchungu, clouds TV na clouds radio Ndio zinaongoza kusikilizwa na kutazamwa nchini
Nchi hii nani anawajuwa E fm?Umetumwa na Clouds!? Na hapo bado hawajaingia Mikoani na hawana hata miaka miwili. Qwi Qwi Qwi.... Efm wana ipelekea Clouds Moto wa hataree.
Mkuu hawa wafuasi wa E fm ni kama mwanamke anae sema anakuchukia kumbe moyoni anakupenda.Wenye akili zao wanajua wazi kwamba EFM inaendeshwa ki-propaganda! Mwanzoni walianza kutembeleea nyota ya Lady Jay Dee hadi pale ilipokuja kufahamika kwamba Jide hausiki!
Wakati wanatembelea nyota ya Jide ilikuwa ni kipindi cha beef kati ya Jide na Clouds... beef ambalo Sugu nae akaingia kati! Kwahiyo haters woooooote wa Clouds, wakaanza ku-support "radio ya Kamanda Jide...!" aliyekuwa anapata support toka kwa Kamanda Sugu! Siasa za EFM hapa ndipo zilianzia! Wale wanaojifanya hawasikilizi Clouds (lakini utashangaa leo mtu anahoji "yaani hadi leo unasikiliza Clouds" baada ya siku mbili tatu huyo huyo anaanzisha mada ya kuponda mtangazaji fulani katika kipindi cha Clouds... mtu unashangaa kamsikiaje wakati hasikilizi Clouds) ndio wakaanza kuwa wapiga kelele in favor EFM!!!
Inabidi uwe ni yule jamaa mmoja katika wanne ndipo uweze kuamini EFM ina wasikilizaji wengi kuliko Clouds!!!!!
Star times channel 115 karibu upate burudani ukonge nyoyoHiyo TV E inapatikana kwenye king'amuzi gani jombaa?
TV E inapatikana king'amuzi gani mkuu?E FM ndo habari ya mjini pamoja na TV E.
Hilo swali jibu wanalo Clouds, nenda kawaulize.Nchi hii nani anawajuwa E fm?
Wangesema mawaingu wanawasikilizaji wengi hapa bongo povu lisingekutoka embu tuondolee unaliu......wako hapa!!Habri wanaJF,
Redio ya E-Fm imekuwa ikitoa taarifa ambazo sasa zimethibitika kuwa ni za kupikwa zinazoonyesha kuwa wao ndio wanawasikilizaji wengi kuliko vyombo vingine kwa jiji la Dar es Salaam.
Hatukatai watu wa E-Fm wanafanya sana kazi. Sasa wajuvi wa mambo wamezama ndani na kuibuka na ukweli wenyewe;
Na kwa wasiojua Geopoll ndo watoaji wakuu wa takwimu za Radio na Tv nchi nyingi Africa. Kwa Tanzania ndio watoaji pekee
Hii ni taarifa ya kupikwa ya E-Fm Redio,
Na hizi ndio data za kutoka kwenye source za ndani,
View attachment 424074
View attachment 424138
View attachment 424139
Taarifa hizi ni Kwa msaada wa Ukurasa wa Twitter wa Ndugu: @salim_alkhasas
akwake kazichemsha mkuu!!Thatha mleta mada, umetumia kigezo gani kusema ulizoleta za ukweli na za wenzako zilipikwa!