Pamoja na maandalizi ya hali ya juu na gharama kubwa zilizotumika, data za sensa 2022 hazitakuwa na ukweli kwa asilimia kubwa

Analyse

JF-Expert Member
Jan 19, 2014
16,488
41,635
Wote ni mashahidi kuwa Sensa ya mwaka huu ilikuwa na promo sana ukilinganisha na zilizopita, na dhumuni kubwa ni kuongeza hamasa kwa wananchi ili waweze kushiriki.

Ila kama ilivyokuwa kwa post code(anuani ya makazi), sensa inaharibikia mwishoni, na data zitakazokusanywa hazitakuwa na uhalisia, hii inatokana na sababu zifuatazo:

1. Walioomba hizi kazi, walipata msukumo kutoka kwenye hela za malipo bila kupima uzito wa kazi.

2. Makarani wanapika sana hizi data na hawafati misingi ya sensa inavyotaka.

Imagine karani alikuwa anahoji mwanamke ambaye anaishi na watoto wake wawili, ila usiku wa tarehe 22 kuamkia 23, hawa watoto hawakuwepo hapa Dar, wapo likizo kijijini kwa bibi yao.

Ila huyu Mama alimuomba karani watoto wake wahesabiwe hapa Dar, na karani alimkubalia, huko walipo it's obvious watahesabiwa tena .

3. Karani alikuja kwangu, akaniuliza umri, majina, tunaishi wangapi, tuliolala pale 22 kuamkia 23, namba ya nida na bima ya afya. Then after hapo akawa kimya muda mrefu, namuuliza vipi mbona kimya? Akanijibu kuwa taarifa zinazofata zinaeleweka ndio maana anajaza, so nisiwe na wasi. Ila nikahisi kama amemaliza kujaza dodoso, ikabidi nimuulize, mbona taarifa za ninaeishi nae hajachukua hata moja? Maana hakuniuliza umri wake, majina elimu n.k.

Yule karani akanijibu kuwa wanawake taarifa zao zinachukuliwa kwenye kaya za jamii. Nikamuuliza why iwe hivyo wakati anaishi hapa? Akanijibu kuwa taarifa zingine wanaume hatuwezi kuwa nazo, au unakuta ni za siri hivyo inabidi zitolewe na wanawake wenyewe kwenye dodoso za kaya za jamii, akatolea mfano mwanamke anaweza kuwa na mtoto wa nje alaf wewe hajakwambia .

Ilifikia hatua nikamwambia wewe nenda tu, maana sidhani hata kama unakijua unachoongea.


Sasa nikawa najiuliza, why wapike data? Kusave time, wamechoka au nini? Maana kazi ndio kwanza siku ya 3, au ni vile wanahasira/uchungu wa hela ambazo wanahisi wamepigwa?

Maana wanasema hela za chakula walizokatwa, zilikuwa haziendani na chakula wanachopewa. Lakini pia kuna certain amount in cash walitakiwa kupewa, nazo hawajui hatma yake.

Anyway, waendelee kujitahidi kwa hizi siku zilizobaki, ila wawe makini wasije kutoa data zikaonesha tupo wachache kulinganisha na 2012, au la, kukawa na unrealistic changes.

Regards,

Analyse
 
Kuna maswali ambayo sio lazima uulizwe maana vinaonekana;swali kama Una ualubino,mlemavu wa viungo na mengine yanayofanana na hayo.Karani naye anamacho.Unataka akuulize wewe ni jinsi gani ilhali anakuona ni mwanaume/mwanamke?akuulize nyumba unayoishi ni kama ya bati au ya nyasi?Tuache kuipanikisha serikali
 
Njia ambazo zinatumika sio njia sahihi sana kwa nyakati hizi na maisha haya watu mishe mishe pukurushani. Walibidi wa involve ICT 95% kwenye hiyo kazi
 
Wote ni mashahidi kuwa Sensa ya mwaka huu ilikuwa na promo sana ukilinganisha na zilizopita, na dhumuni kubwa ni kuongeza hamasa kwa wananchi ili waweze kushiriki.

Ila kama ilivyokuwa kwa Post code (anuani ya makazi), sensa inaharibikia mwishoni, na data zitakazokusanywa hazitakuwa na uhalisia, hii inatokana na sababu zifuatazo:

1. Walioomba hizi kazi, walipata msukumo kutoka kwenye Hela za malipo bila kupima uzito wa kazi.

2. Makarani wanapika sana hizi data na hawafati misingi ya sensa inavyotaka.

Imagine karani alikuwa anahoji mwanamke ambaye anaishi na watoto wake wawili, ila usiku wa tarehe 22 kuamkia 23, hawa watoto hawakuwepo hapa Dar, wapo likizo kijijini kwa bibi yao.

Ila huyu Mama alimuomba karani watoto wake wahesabiwe hapa Dar, na karani alimkubalia, huko walipo it's obvious watahesabiwa tena .

3. Karani alikuja kwangu, akaniuliza umri, majina, tunaishi wangapi, tuliolala pale 22 kuamkia 23, namba ya nida na bima ya afya. Then after hapo akawa kimya muda mrefu, namuuliza vipi mbona kimya? Akanijibu kuwa taarifa zinazofata zinaeleweka ndio maana anajaza, so nisiwe na wasi. Ila nikahisi kama amemaliza kujaza dodoso, ikabidi nimuulize, mbona taarifa za ninaeishi nae hajachukua hata moja? Maana hakuniuliza umri wake, majina elimu n.k.

Yule karani akanijibu kuwa wanawake taarifa zao zinachukuliwa kwenye kaya za jamii. Nikamuuliza why iwe hivyo wakati anaishi hapa? Akanijibu kuwa taarifa zingine wanaume hatuwezi kuwa nazo, au unakuta ni za siri hivyo inabidi zitolewe na wanawake wenyewe kwenye dodoso za kaya za jamii, akatolea mfano mwanamke anaweza kuwa na mtoto wa nje alaf wewe hajakwambia .

Ilifikia hatua nikamwambia wewe nenda tu, maana sidhani hata kama unakijua unachoongea.


Sasa nikawa najiuliza, why wapike data? Kusave time? Wamechoka? Au Nini? Maana kazi ndio kwanza siku ya 3. Au ni vile wanahasira/uchungu wa Hela ambazo wanahisi wamepigwa?

Maana wanasema Hela za chakula walizokatwa, zilikuwa haziendani na chakula wanachopewa. Lakini pia kuna certain amount in cash walitakiwa kupewa, nazo hawajui hatma yake.

Anyway, waendelee kujitahidi kwa hizi siku zilizobaki, ila wawe makini wasije kutoa data zikaonesha tupo wachache kulinganisha na 2012, au la, kukawa na unrealistic changes.

Regards,

Analyse
Nakuunga mkono mkuu
Mm alimiuliza umezaliwa Tz nikamjibu nimezaliwa Jijin Milan Nchini Italy ...nikahisi anheniambia akione cheti chanhu lln hakuhitaji
 
Wote ni mashahidi kuwa Sensa ya mwaka huu ilikuwa na promo sana ukilinganisha na zilizopita, na dhumuni kubwa ni kuongeza hamasa kwa wananchi ili waweze kushiriki.

Ila kama ilivyokuwa kwa Post code (anuani ya makazi), sensa inaharibikia mwishoni, na data zitakazokusanywa hazitakuwa na uhalisia, hii inatokana na sababu zifuatazo:

1. Walioomba hizi kazi, walipata msukumo kutoka kwenye Hela za malipo bila kupima uzito wa kazi.

2. Makarani wanapika sana hizi data na hawafati misingi ya sensa inavyotaka.

Imagine karani alikuwa anahoji mwanamke ambaye anaishi na watoto wake wawili, ila usiku wa tarehe 22 kuamkia 23, hawa watoto hawakuwepo hapa Dar, wapo likizo kijijini kwa bibi yao.

Ila huyu Mama alimuomba karani watoto wake wahesabiwe hapa Dar, na karani alimkubalia, huko walipo it's obvious watahesabiwa tena .

3. Karani alikuja kwangu, akaniuliza umri, majina, tunaishi wangapi, tuliolala pale 22 kuamkia 23, namba ya nida na bima ya afya. Then after hapo akawa kimya muda mrefu, namuuliza vipi mbona kimya? Akanijibu kuwa taarifa zinazofata zinaeleweka ndio maana anajaza, so nisiwe na wasi. Ila nikahisi kama amemaliza kujaza dodoso, ikabidi nimuulize, mbona taarifa za ninaeishi nae hajachukua hata moja? Maana hakuniuliza umri wake, majina elimu n.k.

Yule karani akanijibu kuwa wanawake taarifa zao zinachukuliwa kwenye kaya za jamii. Nikamuuliza why iwe hivyo wakati anaishi hapa? Akanijibu kuwa taarifa zingine wanaume hatuwezi kuwa nazo, au unakuta ni za siri hivyo inabidi zitolewe na wanawake wenyewe kwenye dodoso za kaya za jamii, akatolea mfano mwanamke anaweza kuwa na mtoto wa nje alaf wewe hajakwambia .

Ilifikia hatua nikamwambia wewe nenda tu, maana sidhani hata kama unakijua unachoongea.


Sasa nikawa najiuliza, why wapike data? Kusave time? Wamechoka? Au Nini? Maana kazi ndio kwanza siku ya 3. Au ni vile wanahasira/uchungu wa Hela ambazo wanahisi wamepigwa?

Maana wanasema Hela za chakula walizokatwa, zilikuwa haziendani na chakula wanachopewa. Lakini pia kuna certain amount in cash walitakiwa kupewa, nazo hawajui hatma yake.

Anyway, waendelee kujitahidi kwa hizi siku zilizobaki, ila wawe makini wasije kutoa data zikaonesha tupo wachache kulinganisha na 2012, au la, kukawa na unrealistic changes.

Regards,

Analyse
Nakufahamu wewe ni mmoja wa waliobaniwa na mtendaji wa Kata nafasi ya ukarani.
 
Kuna maswali ambayo sio lazima uulizwe maana vinaonekana;swali kama Una ualubino,mlemavu wa viungo na mengine yanayofanana na hayo.Karani naye anamacho.Unataka akuulize wewe ni jinsi gani ilhali anakuona ni mwanaume/mwanamke?akuulize nyumba unayoishi ni kama ya bati au ya nyasi?Tuache kuipanikisha serikali
Sitakiwi kuulizwa mwenza wangu anaitwa nani, ana umri gani au anajishughurisha na nini? Nisipoulizwa Mimi, hizo taarifa wao wanazitoa wapi?

Pia ni sahihi kuhesabu watu ambao hawakulala kwenye hiyo kaya?
 
Mkuu Kuna maswali akikuuliza utamjibu vibaya au kukasirika...

Mfano; anakuuliza una usonji?

Una ualbino.

Jinsia Yako ni ipi?

Una kichwa kikubwa?
Umerahisisha sana hoja Yako mkuu. Soma vitu nilivyoongelea Mimi then ndo uanzie hapo kuweka hoja
 
Nakuunga mkono mkuu
Mm alimiuliza umezaliwa Tz nikamjibu nimezaliwa Jijin Milan Nchini Italy ...nikahisi anheniambia akione cheti chanhu lln hakuhitaji
Kuna uwezekano mkubwa alijaza umezaliwa Tz, maana kama angejaza kama ulivyo mwambia, dodoso lingeleta maswali ya ziada, so kaepuka usumbufu
 
Wote ni mashahidi kuwa Sensa ya mwaka huu ilikuwa na promo sana ukilinganisha na zilizopita, na dhumuni kubwa ni kuongeza hamasa kwa wananchi ili waweze kushiriki.

Ila kama ilivyokuwa kwa post code(anuani ya makazi), sensa inaharibikia mwishoni, na data zitakazokusanywa hazitakuwa na uhalisia, hii inatokana na sababu zifuatazo:

1. Walioomba hizi kazi, walipata msukumo kutoka kwenye hela za malipo bila kupima uzito wa kazi.

2. Makarani wanapika sana hizi data na hawafati misingi ya sensa inavyotaka.

Imagine karani alikuwa anahoji mwanamke ambaye anaishi na watoto wake wawili, ila usiku wa tarehe 22 kuamkia 23, hawa watoto hawakuwepo hapa Dar, wapo likizo kijijini kwa bibi yao.

Ila huyu Mama alimuomba karani watoto wake wahesabiwe hapa Dar, na karani alimkubalia, huko walipo it's obvious watahesabiwa tena .

3. Karani alikuja kwangu, akaniuliza umri, majina, tunaishi wangapi, tuliolala pale 22 kuamkia 23, namba ya nida na bima ya afya. Then after hapo akawa kimya muda mrefu, namuuliza vipi mbona kimya? Akanijibu kuwa taarifa zinazofata zinaeleweka ndio maana anajaza, so nisiwe na wasi. Ila nikahisi kama amemaliza kujaza dodoso, ikabidi nimuulize, mbona taarifa za ninaeishi nae hajachukua hata moja? Maana hakuniuliza umri wake, majina elimu n.k.

Yule karani akanijibu kuwa wanawake taarifa zao zinachukuliwa kwenye kaya za jamii. Nikamuuliza why iwe hivyo wakati anaishi hapa? Akanijibu kuwa taarifa zingine wanaume hatuwezi kuwa nazo, au unakuta ni za siri hivyo inabidi zitolewe na wanawake wenyewe kwenye dodoso za kaya za jamii, akatolea mfano mwanamke anaweza kuwa na mtoto wa nje alaf wewe hajakwambia .

Ilifikia hatua nikamwambia wewe nenda tu, maana sidhani hata kama unakijua unachoongea.


Sasa nikawa najiuliza, why wapike data? Kusave time, wamechoka au nini? Maana kazi ndio kwanza siku ya 3, au ni vile wanahasira/uchungu wa hela ambazo wanahisi wamepigwa?

Maana wanasema hela za chakula walizokatwa, zilikuwa haziendani na chakula wanachopewa. Lakini pia kuna certain amount in cash walitakiwa kupewa, nazo hawajui hatma yake.

Anyway, waendelee kujitahidi kwa hizi siku zilizobaki, ila wawe makini wasije kutoa data zikaonesha tupo wachache kulinganisha na 2012, au la, kukawa na unrealistic changes.

Regards,

Analyse
Ukweli mtupu Kuna ubabaishaji hivi na wanauliza maswali machache sana mengi wanajijazia tu na hawapiti nyumba zote zingine wanaruka
 
Ni kweli wanapika sana data nadhani kwa sensa hii watakadiria kwa 75% na 25% ndo itakua uhalisia,naungana na jamaa flan hizi kazi ni za watumishi especially waalimu hawa graduate ni mizigo na fojali sana,nadhani watu smart waliishia 1990 kama si 1980.
 
Ni kweli wanapika sana data nadhani kwa sensa hii watakadiria kwa 75% na 25% ndo itakua uhalisia,naungana na jamaa flan hizi kazi ni za watumishi especially waalimu hawa graduate ni mizigo na fojali sana,nadhani watu smart waliishia 1990 kama si 1980.
Nasubiria final data nione zitasomaje, ila makarani na wasimamizi wao wote wanazingua
 
Back
Top Bottom