Leo-live Wire
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 365
- 171
Hapana siijui, mkuu embu nidarasishe iyo Hip hop unayoijua ww
sasa stamina na Ray vanny yupi anayejua hapo"Hip Hop,..
Acha mikurupuo iyo mwananchi",...!!
Sio mikurupuko mkuu,kumleta rayvany kwa uzi unaohusiana na Hiphop Ni kosa kubwa Sana maana hata wengine ulio jaribu wafananisha Na wana Hiphop hawafanani Na Hiphop
"Dunia Tambara bovu Ila nalidekia kwa shida,maisha Ni magumu Na solve bila kutumia four figure" stamina hiyo kwako Ni Hiphop ??sijataka ongelea rayvany kwakua sihitaji hata kufahamu anachofanya maana hakipo kwenye misingi hata ya nguzo moja ya Hiphop .