Rayvanny, mrithi wa Ngwea kwenye freestyle

kijanamtanashati

JF-Expert Member
Aug 22, 2014
516
890
jamaa anajua kufreestyle sioni wa kumfananisha nae kwa sasa labda nimfananishe na marehem ngwea na nathububu kusema huyu ndo mrithi wa ngwea kwenye freestyles, fid q na wenzake hawaingizi maguu kwa jamaa. jamaa akiamua afanye hip hop akina fid q inabidi wakasomee mana jamaa si mchezo japo simshauri afanye hiphop asije kufa maskin.

 
baada ya ngwair ni godzilla then mbishi sasa nyie maboya mnamuweka mbana pua kwa wanaume utakuwa huujui muziki
 
jamaa anajua kufreestyle sioni wa kumfananisha nae kwa sasa labda nimfananishe na marehem ngwea na nathububu kusema huyu ndo mrithi wa ngwea kwenye freestyles, fid q na wenzake hawaingizi maguu kwa jamaa. jamaa akiamua afanye hip hop akina fid q inabidi wakasomee mana jamaa si mchezo japo simshauri afanye hiphop asije kufa maskin.

kauli ya ki wack kuwahi kutoka kwako. Hii ikiangaliwa serious inaitwa disrespect to the giants aisee
 
Back
Top Bottom