kijanamtanashati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 516
- 890
jamaa anajua kufreestyle sioni wa kumfananisha nae kwa sasa labda nimfananishe na marehem ngwea na nathububu kusema huyu ndo mrithi wa ngwea kwenye freestyles, fid q na wenzake hawaingizi maguu kwa jamaa. jamaa akiamua afanye hip hop akina fid q inabidi wakasomee mana jamaa si mchezo japo simshauri afanye hiphop asije kufa maskin.