Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,834
Mbona yeye Mangwea aliacha wosia kuwa pengo lake halina Spea wewe ni nani wa kumbishia
baada ya ngwair ni godzilla then mbishi sasa nyie maboya mnamuweka mbana pua kwa wanaume utakuwa huujui muziki
Mleta uzi aache kumfananisha Ngwea na watoto wa jana.Raynavy yuko poa kama hatobweteka, ila kumlinganisha na Ngwea hiyo ni dharau.Ngwea ni Ngwea hakuna Ngwea mwingine, he was the best at his level.
Au MANGWEHANgwair sio Ngwaire,
au unaeza muita Ngwea or Mangwea
AlrightAu MANGWEHA
jamaa anajua kufreestyle sioni wa kumfananisha nae kwa sasa labda nimfananishe na marehem ngwea na nathububu kusema huyu ndo mrithi wa ngwea kwenye freestyles, fid q na wenzake hawaingizi maguu kwa jamaa. jamaa akiamua afanye hip hop akina fid q inabidi wakasomee mana jamaa si mchezo japo simshauri afanye hiphop asije kufa maskin.
baada ya ngwair ni godzilla then mbishi sasa nyie maboya mnamuweka mbana pua kwa wanaume utakuwa huujui muziki
Eti Fid Q akae u r not serious aki ya nani tena",..
poa Fid akae,.. Zilla,Stamina Young killer
José mtambo hihihi au freestyle ina maana nyingine
yote Tisa *Albert aka Ngwea aka Mimi the simple man* uyu freestyle sina jina la kumpa
Hapana siijui, mkuu embu nidarasishe iyo Hip hop unayoijua wwKama hujui Hiphop bora kukaa kimya,stamina seriously?