Na ile barua ya kwenda kwa Lowasa ya kushauri kuwa hoja za Dr Slaa zisijadiliwe bungeni ni nani alipitisha?
Wewe mdada huyu jamaa ana mamlaka gani ya kuzuia barua kama hizo ndani ya bunge?. RO siyo spika wa bunge na wala hana mamlaka kama hayo ndani ya bunge.
Ni spika ndiye mwenye mamlaka kama hayo.