Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Re.Kishoka,
Nimesema hivyo baada ya kuisoma vizuri sheria ya Usalama wa Taifa. Ninachoweza kusema ni kuwa, kuna watu wana chuki na Othman au hawajui vizuri majukumu ya Usalama wa Taifa, na wamekuwa WAVIVU kuisoma au wamesisoma lakini HAWAJAIELEWA.
Mie niliwaleta hapa functions of TISS watu wakiziangalia tu,Kimsingi mie sijaona kosa la DG RO.ila tatizo ni mfumo uliopo katika masuala yanayohusu usalama wa nchi.