St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,522
Msisahau pia kuwa Rais wetu alitoka jeshini akiwa na cheo cha Luteni Kanali,hivyo si vyema kumsema vibaya na kuonyesha kuwa hawezi kitu wakati si kweli.Ni wangapi walioshindwa kufikia ngazi hiyo ndani ya jeshi ?