lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,743
- 1,379
Naomba kuuliza katika utawala je Rais huwa HAKOSEI?
Je, Rais anaweza kuwa na ushawishi wowote wenye nguvu kuingiza nchi kwenye mikataba isiyo na tija Kwa nchi?
Je, Rais anaweza kuamua Jambo lolote kwenye mihimili mingine na asifanywe chochote?
Je, Rais anaweza kuisigina katiba na chama chake kisimsimamie?
Naomba kuuliza tu je Rais anaweza kukosea katika utawala wake?
Nini Kazi ya washauri?
Nini Kazi ya katiba?
Nini Kazi ya mihimili mingine Kwa Rais.
Je, neno la Rais ni SHERIA?
Nawasilisha.
Je, Rais anaweza kuwa na ushawishi wowote wenye nguvu kuingiza nchi kwenye mikataba isiyo na tija Kwa nchi?
Je, Rais anaweza kuamua Jambo lolote kwenye mihimili mingine na asifanywe chochote?
Je, Rais anaweza kuisigina katiba na chama chake kisimsimamie?
Naomba kuuliza tu je Rais anaweza kukosea katika utawala wake?
Nini Kazi ya washauri?
Nini Kazi ya katiba?
Nini Kazi ya mihimili mingine Kwa Rais.
Je, neno la Rais ni SHERIA?
Nawasilisha.