Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,176
wewe wapenda chomeka tu?
Watu wanapenda kuchomekwa chomekwa: sijui kwa nini?
Watu wanapenda kuchomekwa chomekwa: sijui kwa nini?
nguli naona umeweka avatar umekata kifua,sema nikuweke kitengo gani.ila iwe ulinzi
Mimi bahati nzuri tayari nina wizara yangu. Ambayo ni wizara ya upuuzi na mipango ya ghafla ghafla. Nasubiri kuapishwa tu.
siku ile nilikuambia niwe mfuta vumbi ukakataa
sasa mie ndo mwanamke wa kwanza utajibeba
sijui kama jina lak litakuwepo
ngoja tukalale sasa hivi ili nianze kukuharibia
Kongosho we unaona tumpe Kadakabikile wizara gani,ila asifanye kama mtajisiku ile nilikuambia niwe mfuta vumbi ukakataa
sasa mie ndo mwanamke wa kwanza utajibeba
sijui kama jina lak litakuwepo
ngoja tukalale sasa hivi ili nianze kukuharibia
mpwa huyu mtayarishe wizara itakayodili na maandamano maana soon life ya tanzania itageuka kama misri na kijana namjua yuko fiti tangu kule jeshini oljoro
Nguli naona umeweka avatar umekata kifua,sema nikuweke kitengo gani.ila iwe ulinzi
Kongosho we unaona tumpe Kadakabikile wizara gani,ila asifanye kama mtaji
Sport au elimu nitakuweka ila usianze ulajiNime miss aina hizi za thread tulikuwa tunazifaidi sana 2009 na early 2010. Umeifanya xmass yangu iende vizuri. Creative thread na umenifurahisha zaidi pale uliko mpa Mwita25 wizara ya maji taka, hahahah.
Mimi japo niko ki sport zaidi ningefurahi kama mngeniweka wizara ya elimu. Sijui watoto siku hizi wana silabasi gani inaweza kuwa mseto. Hakuna extra curriculum activities tena.
Ila Rais asiwe Rejao
lol ila utafahamiana na wachezaji wenye majina na vingilio ya viwanjani mtakula sana.
haya niambie wizara unayotaka ila isiwe mambo ya nje mana wenye bifu utawabania kwenda njeMi sina sura ya kuuza na wachezaji nataka kujaza acc ya bank bana.
Nwy ntakua naomba mialiko ya kupeleka wachezaji nje alafu nauza visa kwa wasio wachezaji.