peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Kuna uwezekano Doto Biteko hajui ukomo wa madaraka yake kunakoelekea nchi kuingia gizani na umaskini mkubwa kuwanyemelea Watanzania kwa kumtegemea mtu mmoja.
Doto anahangaika na Unaibu waziri mkuu, anasahau majukumu ya TANESCO.
Ninashauri Rais aunde Wizara ya Umeme tu ambayo itahusika na uzalishaji umeme, usambazaji umeme na uuzaji wa umeme.
Doto abakie kwenye cheo cha Unaibu Waziri Mkuu tu.
Pili, Rais aunde wizara ya kushughulikia mambo ya Jiji la Dar na Dodoma tu.
Kuundwa kwa wizara hizi uende sambamba na kuifuta wizara ya elimu kuhamishia mambo yake Wizara ya Tamisemi.
Umeme umekuwa kero kubwa mno na sehemu nyingi za nchi ziko gizani.
Doto anahangaika na Unaibu waziri mkuu, anasahau majukumu ya TANESCO.
Ninashauri Rais aunde Wizara ya Umeme tu ambayo itahusika na uzalishaji umeme, usambazaji umeme na uuzaji wa umeme.
Doto abakie kwenye cheo cha Unaibu Waziri Mkuu tu.
Pili, Rais aunde wizara ya kushughulikia mambo ya Jiji la Dar na Dodoma tu.
Kuundwa kwa wizara hizi uende sambamba na kuifuta wizara ya elimu kuhamishia mambo yake Wizara ya Tamisemi.
Umeme umekuwa kero kubwa mno na sehemu nyingi za nchi ziko gizani.