Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,223
Invisible anafaa ila kugombea urasi anakataa/
labda utumishi wa umma ndo Utamfaa/
akiwa mambo ya ndani ndo balaa/
wengi lazima ban watakataa/
J.Mushi na Feedback kateni rufaa/
Waberoya huna chama nadhani hutafaa/
Klorokwini anafaa upande wa sheria/
Ila Paw ushindi kashajitangazia/
PakaJimmy ushindi kote wanamkubalia/
Ushindi bado na hatima tutafikia/
Rejeo akiwa rais JF nalog off mazima/
Ritz,Mzee,F.F nye mabalozi nyumba 10 daima/
Taimo kwa udaku nampa mawasiliano/
Ila Babu Asprin atashinda mawasiliano/
Bishanga na The Boss labda biashara/
ila wanaweza kututapeli mshahara/
The Finest fanya utafiti jangwa la sahara/
utapewa mambo ya nje bila madhara/
wizara nyingine zinapendwa na jamii/
wanawake na watoto nitampa AshaDii/
ila pia naona anafaa SteveDii/
Mamndenyi nahisi atapita kiusanii/
wengine hata mtoe maoni mi sisikii
Husninyo anagombea wizara ya madini/
yupo na Nyani Ng'abu,hatutaki umaskini/
King'asti anataka wizara ya utalii nataka maoni/
Aminata naona anafaa ila asilete udini/
Bujibuji atafaa vichekesho/
ila anashindana na Kongosho/
FirstLady1 subiri apatikane rais
hii kazi kuna majungu si rahisi/
wengi wana tamaa ya fisi/
sio nawaponda au kudiss/
sema kweli JF itapoteza ufanisi
kina wakusoma wakiwa wafuasi/
wakati hawajui kufuta makamasi/
Wizara ya michezo ni Afrodenz na lizzy/
ila kazi ipo mana anagombea sweetlady/
pamoja na black womani hakuna lazy/
Wizara ya elimu kuna Mkuu wa Chuo/
St.Ivunga bado sina msemo
pia anafaa Kiranga mana ana upeo/
ingawa kilimo si mchepuo/
leteni majina kama mna upeo/
Kibweka atakuwa mpiga picha wa rais/
Great Thinker atakuwa dj fanisi/
Smile na DaMie lazima mkawe wahandisi/
najua hampendi ila kuweni wafanisi/
Mambo ya nje Russian Roullete na Mwanakijiji/
ila kwa Filipo na Sijuii nini wapo kama wafa maji/
Bwana Msitu labda jamii01 ila ni mzembe/
heri flora msofe mpeni kura kabambe/
Mwali na Katavi kukaribisha wageni/
siyo kwamba nimewasahau ila samahani/
Eliza wa Tegeta ana nafasi mahakamani/
heri awe polisi,kuliko kukagua bandarini/
X-Paster kuwa askofu au rudi kwenye dini/
Preta wewe unafaa kuwa madini
uwe na swaiba wako dena amsi uchukuzi au hamna imani?
au umeamua kujiachia baa kula maini/
ukitaka kugombea sema,au leta malalamiko.
naibu wizara ya mapenzi nampa Pdidy
Shosti atakuwa msaidizi wa kibweka/
kule mambo ya wakubwa hakuna kucheka/
Kipipi mali ya asili na utalii/
Nitonye nimekuteua naibu fanya bidii/
Ukitaka udiwani,mwenyekiti wa kijiji,
we sema tu ila uwe na bomba za maji/
sijawasahau Jf bila nye haitanoga/
semeni mnataka cheo gani sijawamwaga/
napindua serikali,lazima nimchomeke Nguli/
atafaa wizara ya michezo sio kusaka mali/
igeni huu mfano mcheze dini halali/
ukipata wizara usicheze udali/
Gaijin atakuwa spika wa Bunge/
usiruhusu waje bungeni wanywa mbege/
labda utumishi wa umma ndo Utamfaa/
akiwa mambo ya ndani ndo balaa/
wengi lazima ban watakataa/
J.Mushi na Feedback kateni rufaa/
Waberoya huna chama nadhani hutafaa/
Klorokwini anafaa upande wa sheria/
Ila Paw ushindi kashajitangazia/
PakaJimmy ushindi kote wanamkubalia/
Ushindi bado na hatima tutafikia/
Rejeo akiwa rais JF nalog off mazima/
Ritz,Mzee,F.F nye mabalozi nyumba 10 daima/
Taimo kwa udaku nampa mawasiliano/
Ila Babu Asprin atashinda mawasiliano/
Bishanga na The Boss labda biashara/
ila wanaweza kututapeli mshahara/
The Finest fanya utafiti jangwa la sahara/
utapewa mambo ya nje bila madhara/
wizara nyingine zinapendwa na jamii/
wanawake na watoto nitampa AshaDii/
ila pia naona anafaa SteveDii/
Mamndenyi nahisi atapita kiusanii/
wengine hata mtoe maoni mi sisikii
Husninyo anagombea wizara ya madini/
yupo na Nyani Ng'abu,hatutaki umaskini/
King'asti anataka wizara ya utalii nataka maoni/
Aminata naona anafaa ila asilete udini/
Bujibuji atafaa vichekesho/
ila anashindana na Kongosho/
FirstLady1 subiri apatikane rais
hii kazi kuna majungu si rahisi/
wengi wana tamaa ya fisi/
sio nawaponda au kudiss/
sema kweli JF itapoteza ufanisi
kina wakusoma wakiwa wafuasi/
wakati hawajui kufuta makamasi/
Wizara ya michezo ni Afrodenz na lizzy/
ila kazi ipo mana anagombea sweetlady/
pamoja na black womani hakuna lazy/
Wizara ya elimu kuna Mkuu wa Chuo/
St.Ivunga bado sina msemo
pia anafaa Kiranga mana ana upeo/
ingawa kilimo si mchepuo/
leteni majina kama mna upeo/
Kibweka atakuwa mpiga picha wa rais/
Great Thinker atakuwa dj fanisi/
Smile na DaMie lazima mkawe wahandisi/
najua hampendi ila kuweni wafanisi/
Mambo ya nje Russian Roullete na Mwanakijiji/
ila kwa Filipo na Sijuii nini wapo kama wafa maji/
Bwana Msitu labda jamii01 ila ni mzembe/
heri flora msofe mpeni kura kabambe/
Mwali na Katavi kukaribisha wageni/
siyo kwamba nimewasahau ila samahani/
Eliza wa Tegeta ana nafasi mahakamani/
heri awe polisi,kuliko kukagua bandarini/
X-Paster kuwa askofu au rudi kwenye dini/
Preta wewe unafaa kuwa madini
uwe na swaiba wako dena amsi uchukuzi au hamna imani?
au umeamua kujiachia baa kula maini/
ukitaka kugombea sema,au leta malalamiko.
naibu wizara ya mapenzi nampa Pdidy
Shosti atakuwa msaidizi wa kibweka/
kule mambo ya wakubwa hakuna kucheka/
Kipipi mali ya asili na utalii/
Nitonye nimekuteua naibu fanya bidii/
Ukitaka udiwani,mwenyekiti wa kijiji,
we sema tu ila uwe na bomba za maji/
sijawasahau Jf bila nye haitanoga/
semeni mnataka cheo gani sijawamwaga/
napindua serikali,lazima nimchomeke Nguli/
atafaa wizara ya michezo sio kusaka mali/
igeni huu mfano mcheze dini halali/
ukipata wizara usicheze udali/
Gaijin atakuwa spika wa Bunge/
usiruhusu waje bungeni wanywa mbege/