jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Bi Msofe, humu ni chit chat, just about "chit chatin"Asee umepiga cha arachuga ??????
Bi Msofe, humu ni chit chat, just about "chit chatin"Asee umepiga cha arachuga ??????
siku ile nilikuambia niwe mfuta vumbi ukakataa
sasa mie ndo mwanamke wa kwanza utajibeba
sijui kama jina lak litakuwepo
ngoja tukalale sasa hivi ili nianze kukuharibia
Excellent Wizara ya michezo inalipa kweli?
Labda nifanye biashara ya visa za dili.
haya niambie wizara unayotaka ila isiwe mambo ya nje mana wenye bifu utawabania kwenda nje
Heeee! Shemeji shemeji. Asanteee! Mi staki kuwa na nyani ngabu lakini.
wewe umashachaguliwa hair stailist wa mwanamke wa kwanza
hiyo inakutosha sana maana ntakuwa na hafla nyingi mno
excelent ambao nimeshawachagua maids wangu wasipangiwe kazi zingine
haya niambie wizara unayotaka ila isiwe mambo ya nje mana wenye bifu utawabania kwenda nje
Unataka kuabika kwenye hafla?
Maana mawigi na weaving havitochoka kudondoka.Labda unifanye PERSONAL SHOPPER wako, hapo utafurahi mwenyewe.
Unahofia utakuwa na hali mbaya ee? Ngoja nianze kupiga kampeni kwa nguvu!Ila Rais asiwe Rejao
Waambie mapema kabisaa, wasije lalamika baadaye. Excellent naye naona anatumia nguvu kubwa sana kunimaliza..mtakoma rejao keshaapishwa
na mie ndo mwanamke wa kwanza
zile kope ulizoninyima!
Jiandae kuwa raia wa afganistan
Unahofia utakuwa na hali mbaya ee? Ngoja nianze kupiga kampeni kwa nguvu!
Waambie mapema kabisaa, wasije lalamika baadaye. Excellent naye naona anatumia nguvu kubwa sana kunimaliza..
we utakuwa unagawa pombe kwenye ofisi ya Rais