Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,371
- 2,050
Yani miaka yake mi3 tuuu naiona Tanzania nyingine kabisaaaa..... Mungu akulinde rais wetu mpendwa JPM
Sijaelewa. Ina maana hizo pesa ni nyingi kiasi hicho?
Ni bora ata katiba ije ibadirishwe ili Magufuli aongoze miaka 20 bila kufanyika uchaguzi mkuu tu sasa maana hakuna namna.
Hiyo hela ingetumika kufanya miundombinu mipya ya maji hapa Dar
Haki ya mungu hata mi nina mawazo kama yako,ofcoz tumempata mkombozi,magufuli anatosheleza sana,miaka kumi ni michache sana aiseee.yaan bora aongoze mpaka kufa kwake.
Ahsante mkuu nimekuelewa vema. Nimeyakumbuka maneno ya Hashim Rungwe kuwa wananchi wanataka wawe na uwezo wa kupata milo 3 kwa siku, wapeleke watoto shule na wapate elimu bora, huduma ya maji safi na salama na afya bora wala hawatayabeba madaraja mgongoni. Kwa mimi naona hii ni wrong decision ameifanya Mh. Rais hizo hela zingesaidia kutatua moja ya hayo juu na angapata kitu cha kuonekana. Barabara ya morocco haina impact kubwa ktk uchumi.
Ni hatua nzuri sana lakini mbona pesa zote zinaelekezwa mkoa wa Dar?
Ina maana sie wa Bukoba hatupaswi kuneemeshwa na hizi pesa za zuio la Magufuli!
Ina maana Dar wao peke yao ndio wanalipa kodi?
Magufuli acha ubaguzi, hizo pesa zilenge kusaidia watanzania wote nchini na sio kwa wakazi wa Dar peke yao.
Mbona kijijini kwako Chato uliweka taa za kuongozea magari wakati hakukuwa na umuhimu kivile maana magari huko ni moja moja.