Rais Magufuli: Pesa za Uhuru zijenge barabara ya Mwenge-Morocco Dar es Salaam

Ahsante mkuu nimekuelewa vema. Nimeyakumbuka maneno ya Hashim Rungwe kuwa wananchi wanataka wawe na uwezo wa kupata milo 3 kwa siku, wapeleke watoto shule na wapate elimu bora, huduma ya maji safi na salama na afya bora wala hawatayabeba madaraja mgongoni. Kwa mimi naona hii ni wrong decision ameifanya Mh. Rais hizo hela zingesaidia kutatua moja ya hayo juu na angapata kitu cha kuonekana. Barabara ya morocco haina impact kubwa ktk uchumi.
Mkuu ila tukubali, mambo mengine yatahitaji bajeti. Mfano; Elimu bure imeshatengewa pesa zake. Naona tumuache hizi ndogondogo aendelea kukurupuka nazo huenda kuna siku atazielekeza kwenye jambo la maana zaidi.
 
kwanini dar tu. kwani ndio wanaolipa kodi au wapiga kura pekeao hii sio approach nzuri japo uamuzi ni mzuri
 
Ngoja nitafute kiwanja Dar sasa maanake kwa Magufuli Tz ni Dar pekee yake.

Haina haja ya kuja mkuu, naamini atavuka hata nje ya mipaka ya Tanzania! Kati ya siku 3,650 anazotaruhusiwa kuwa rais wetu kikatiba, yeye amatumia siku 25 tu hadi sasa!

Bandari aliyoigusa, ni mali ya nchi nzima ijapo ipo Dar!

TRA alioyoigusa ni Makao makuu, tutegemee mikoani mtalipata hili joto japo na penyewe atafika hadi mikoani!

TUZIDI KUMWOMBEA TU MKUU KULINGANA NA IMANI ZETU, MAANA NYAYA ZA UMEME ANAZOSHIKA WAPO WANAOMWOMBEA ZIMNASE APIGWE SHOTI!
 
Haina haja ya kuja mkuu, naamini atavuka hata nje ya mipaka ya Tanzania! Kati ya siku 3,650 anazotaruhusiwa kuwa rais wetu kikatiba, yeye amatumia siku 25 tu hadi sasa!

Bandari aliyoigusa, ni mali ya nchi nzima ijapo ipo Dar!

TRA alioyoigusa ni Makao makuu, tutegemee mikoani mtalipata hili joto japo na penyewe atafika hadi mikoani!

TUZIDI KUMWOMBEA TU MKUU KULINGANA NA IMANI ZETU, MAANA NYAYA ZA UMEME ANAZOSHIKA WAPO WANAOMWOMBEA ZIMNASE APIGWE SHOTI!

Umenikumbukusha zile picha za mh.mmoja hivi katia aibu na picha zake za mipasho.
Magufuri chanja mbugaaaaaaaa
Usiogopeeeeeeeeee.
Tuko na wewe.
 
wakati mwingine ni allocation ya pesa ndio tatizo, kutumia pesa wisely. Magufuli kama umeliona hili heko
 
Muone huyu nae...vikao vya nini sasa? Yani waanze tena mambo ya upembuzi yakinifu?

Kuna sheria na taratibu. Mafungu yanaidhinishwa na Bunge kutokana na mapendekezo ya serikali; haya yanayofanya na Raisi yangetekelezwa kwa kufanya upya mapitio ya Bajeti january 2016 badala ya matamko tuu
 
Asilimia kati ya 75-80mya pato la Taifa inatoka Dar. Tukiimarisha Dar na kupunguza foleni tutaongeza ufanisi wa kazi na kukusanya kodi nyingi zaidi ambayo itatumika kujengea barabara zingine nchini. Ningependa kama ingewezekana bajeti nzima ya mwaka ya barabara iwekweze Dar baadae kungine si kwakuwa naishi Dar ila kwa sababu za Kiuchumi.

Weka ushahidi wa unachokisema ndugu yangu. Naona uko kihisia zaidi.
 
Kuna sheria na taratibu. Mafungu yanaidhinishwa na Bunge kutokana na mapendekezo ya serikali; haya yanayofanya na Raisi yangetekelezwa kwa kufanya upya mapitio ya Bajeti january 2016 badala ya matamko tuu

hakuna muda huo bhana,
mambo ya vikao na upembuz hayana tija kwa mwananchi wa kawaida.
kwani hata hiyo pesa ilipangwa ktk bajeti itumike kwenye sherehe za uhuru?????
mi naona tija kwanza hayo mengine tutayapanga tukitulia.
 
Kuna sheria na taratibu. Mafungu yanaidhinishwa na Bunge kutokana na mapendekezo ya serikali; haya yanayofanya na Raisi yangetekelezwa kwa kufanya upya mapitio ya Bajeti january 2016 badala ya matamko tuu

hizi peas za sherehe ya uhuru tayari zimeshaizinishwa na bunge kupitia bajeti iliyopita kitu anachofanya magufuri ni kubadili alocation ya pesa tu bila kubomoa bajeti upo hapo. na hata ikirudi bungeni sitegeme kusikia hapana bali ni ndiyooooo tu.
 
hakuna muda huo bhana,
mambo ya vikao na upembuz hayana tija kwa mwananchi wa kawaida.
kwani hata hiyo pesa ilipangwa ktk bajeti itumike kwenye sherehe za uhuru?????
mi naona tija kwanza hayo mengine tutayapanga tukitulia.

Richmond ilianza hivyo hivyo
 
hizi peas za sherehe ya uhuru tayari zimeshaizinishwa na bunge kupitia bajeti iliyopita kitu anachofanya magufuri ni kubadili alocation ya pesa tu bila kubomoa bajeti upo hapo. na hata ikirudi bungeni sitegeme kusikia hapana bali ni ndiyooooo tu.

Alocation inabadilishwa na Raisi au January budget review? Mshaurini Raisi vizuri kwa mujibu wa sheria na taratibu za kiutendaji. Mapendekezo ya mapitio ya bajeti (Budget revision) yanaandaliwa na Serikali na kupelekwa Bungeni kuidhinishwa
 
Ni jambo la faraja sana kwa huu utaratibu anaokwenda nao mh.Magufuli na kikubwa kwetu sisi wananchi tumpe moyo ktk kulisukuma gurudumu la maendeleo.
 
Back
Top Bottom